Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Na wanaobeba magarasa yakawashangilie? Pesa wanazitoa wapi!SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.
Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.
Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
Leo umekumbuka kuvaa pampasi?Mjane wa Marehemu wa Chato unateseka mwenyewe.
Huishi kulitaja jina la Marehemu Mumeo!
Lakini hata kama 2019 hakikukamilika 2023 kingekuwq kimekamilika. Acha chuki.Hizi ni hisia na matamanio yako. Alisema kipande Cha Dar-Moro kitakuwa tayari Hadi November 2019, lakini hadi anaelekea jehanamu ilikuwa Bado. Bomba la mafuta alisema kufikia November 2020 litakuwa tayari lakini Hadi Leo akiwa motoni Bado. Inaonekana uliamini uongo wake.
Inashindwaje kuwalipa kama sio moja ya mikakati ya kuhujumu mradi,mbona pesa za kuchezea mambo ya hovyo wanayo teleMkuu failure ya Wanasiasa usiitafutia scapegoat kwetu, mimi ni mdau ujue?
Nasikia Serkali imeshindwa kuwalipa Wakandarasi, Matajiri wa Malori na Mabasi wanaingiaje hapo?
Hela zinapigwa na Wanasiasa na familia zao na Watumishi wa Umma na hayo mambo ya "hovyo" ndio mwanya wa kupiga.Inashindwaje kuwalipa kama sio moja ya mikakati ya kuhujumu mradi,mbona pesa za kuchezea mambo ya hovyo wanayo tele
JPM alisema" hivi ikitokea Mungu akanichukua leo,haya ninayoyafanya wataweza kuyaendeleza kweli?" Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ujenzi wa meli ya mwanza delayed,ujenzi wa sgr delayed,bwawa la umeme delayed,ujenzi wa meli bahari ya Hindi pyuuuu,umeme mgawo mkali,mwendo Kasi delayed. Na mengi ya hovyo.SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.
Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.
Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
Hela zinapigwa na Wanasiasa na familia zao na Watumishi wa Umma na hayo mambo ya "hovyo" ndio mwanya wa kupiga.
Lakini wenye Maloli na Mabasi huwa wanasingiziwa kwa kila failure.
Mimi niko kwenye sekta ya Usafirishaji wa mizigo migumu na Vimiminika hatari nimejionea.
Utakuta Barabara ina shimo dogo TANROADS wako kimyaa lile shimo linakua na kufikia saizi ya Handaki Wananchi wanaanza kulalamika anakuja Afsaa wa TANROADS huku ameambatana na Mwanasiasa ili kuja "Kuwapoza" Wananchi wanasema ni Malori ndio yanaharibu Barabaraπ
Huko ni kukwepa WAJIBU wao
Huna hoja kenge weweHela zinapigwa na Wanasiasa na familia zao na Watumishi wa Umma na hayo mambo ya "hovyo" ndio mwanya wa kupiga.
Lakini wenye Maloli na Mabasi huwa wanasingiziwa kwa kila failure.
Mimi niko kwenye sekta ya Usafirishaji wa mizigo migumu na Vimiminika hatari nimejionea.
Utakuta Barabara ina shimo dogo TANROADS wako kimyaa lile shimo linakua na kufikia saizi ya Handaki Wananchi wanaanza kulalamika anakuja Afsaa wa TANROADS huku ameambatana na Mwanasiasa ili kuja "Kuwapoza" Wananchi wanasema ni Malori ndio yanaharibu Barabaraπ
Huko ni kukwepa WAJIBU wao
Unaweza kuwa uko sawa lakini tatizo ni kuwa hujui chanzo cha tatizo. Wewe unaona chanzo cha tatizo ni walafi wachache wanaotaka kujinuafaisha. Mimi nasema siyo. Mimi nasema chanzo cha tatizo ni mfumo wetu unaotoa nafasi kila kiongozi kuingia na kupanga mipango yake ya maendeleo kulingana na utashi wake. Chanzo cha tatizo ni mfumo tulionao unawezesha watu wa aina ya kina January kuingia kwenye mfumo, kudumu kwenye mfumo hata pale wanapofanya mabaya yao, na pia kuweza kuwa na sauti ya kubadili vitu watakavyo. Tunarudi kule kule. Bila katiba nzuri yenye kutuwezesha kurekebisha hizo kasoro ni bure... mtafungua thread kila siku lakini hakuna kitakachobadilika.SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.
Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.
Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
Tatizo la Magufuli alikuwa na upeo mdogo wa ki-uongozi. Kama alijua yote haya mbona hakuweka mifumo mizuri ya ku-counter check haya matatizo? Miaka mitano yote aliyokaa ni mingi na alikuwa anafanya one man show kwenye kila kitu wakati nchi kubwa kama Tanzania huwezi kufanikiwa kwa hilo. Magufuli ndiyo alikuwa mpinzani mkubwa wa kubadili mfumo wetu wa uongozi wakati una loopholes kibao. Hivi ilihitaji unabii kuona kuwa binadamu yoyote anaweza kufariki muda wowote na kuwa Magufuli akifa nchi itabaki kwa Samia ambaye alikuwa na ukaribu na hao kina January ambao nao wana ukaribu mkubwa na ufisadi?JPM alisema" hivi ikitokea Mungu akanichukua leo,haya ninayoyafanya wataweza kuyaendeleza kweli?" Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ujenzi wa meli ya mwanza delayed,ujenzi wa sgr delayed,bwawa la umeme delayed,ujenzi wa meli bahari ya Hindi pyuuuu,umeme mgawo mkali,mwendo Kasi delayed. Na mengi ya hovyo.
Kiongozi wa kuhujumu nchi si anajulikana,sijajua kwanini anaogopwa yaani anafanya anavyotaka kama nchi hii ni ya ukoo wao!SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.
Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.
Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
Ndiyo maana Huwa nashangaa watu wanaomsifu yule Bibi!Kudadeki watu wanapiga hela balaa
Dah, aisee viongozi wa Tanzania ni wabobezi kwa ujambazi wizi, upigaji duniani.Mungu na Aendelee kuibariki nchi yetu nzuri iliyobarikiwa kila kitu ambacho mwanadamu anakihitaji kwa maendeleo yake katika kasayari haka kazuri ππΏππΏππΏ
View attachment 2787950View attachment 2787951View attachment 2787952
Kama pesa ya kulipa Fidia za mabilioni wanazipata wapi?Inashindwaje kuwalipa kama sio moja ya mikakati ya kuhujumu mradi,mbona pesa za kuchezea mambo ya hovyo wanayo tele
Si ndio hapoKama pesa ya kulipa Fidia za mabilioni wanazipata wapi?
Hilo bwawa mnajaza kwa mvua zipi,miradi yake yote imejaa ufisadi wa kutishaSGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.
Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.
Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.
π€£π€£π€£Mungu na Aendelee kuibariki nchi yetu nzuri iliyobarikiwa kila kitu ambacho mwanadamu anakihitaji kwa maendeleo yake katika kasayari haka kazuri ππΏππΏππΏ
View attachment 2787950View attachment 2787951View attachment 2787952
Nafuu mimi ni mjinga, ila wewe ni hayawani ambaye bado unaamini Mwendazake alikuwa mzalendo kama alivyowadanganyaWamekamatwa??
Wewe nawe ni mjinga fulani hivi na unaushabiki wa kipumbavu tu!
Hao walioundiwa tume kwa madai ya kificha pesa China walikamatwa??
Unaushahidi wa kuwa hakukuta pesa BoT??
Wacha uwehu wako!! Nini Dar Dodoma?. Kipande cha Moro-Dar kilipangwa kianze Novemba 2019. Magufuli kafariki March 2021 bila kuanza. Leo hii Misukule ya Magufuli inasema Samia kachelewesha.SGR kipande cha Dar mpaka Dodoma angekuwepo hayati JPM sasa hivi kingekuwa kimekamilika. Hali ya usafirishaji mizigo na abiria ingeimarika.
Mradi wa JNHP kwa mwaka huu ungeanza kuzalisha umeme na bei ya umeme ingepungua. Mgao pia ungeisha kabisa.
Hii ni mifano tu ya miradi ambayo imekwamishwa na akina January Makamba na wenzake ili wanufaike na matumbo yao huku Watanzani wakitabika.