Miradi mikubwa awamu ya 5

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyofanywa na serikali ya awamu ya 5.

1. Ununuzi wa ndege za abiria
2. Ununuzi wa viongozi wa vyama vya upinzani
3. Ukamataji wa wananchi wanaotoa taarifa za majanga kinyume na matakwa ya watawala.
4. Ugunduzi wa technologies mpya ya ujenzi inayo julikana kama Expansion joints .
5. Ujenzi wa uwanja wa nyumbani .

wananchi tuonyeshe ushirikiano.
 
Yeah,halafu miradi yote hiyo tunatekeleza kwa mikopo ya kimya kimya.
 

hahaha pamoja na bomoa bomoa
wahanga wa sandandarusi kuongezeaka
uvamizi wa studio
............... rambirambi kuelekezwa kwenye shughuli zingine
haaha
 

6. Uuuzaji wa nyumba za Lugumi kwenye 900 inapendeza
 
8. Kutembelea bandari na kukamata magari. haaa
 
Tanzania ndo tushakuwa wajenzi wa dunia hata kwa trump hakuna tz oyee
 
Mtasema mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…