Mbona hata sisi hutukanwa tuu humu lakini hatubandukiBado nakukumbusha kwa moyo mkunjufu. Jaribu uwezavyo usilitumie hili neno 'sisi' kwa sababu litakubebesha hadi mizigo isiyokuwa yako. Nakushauri au nakusihi ujaribu hili 'mimi' yaani ukimaanisha nafsi yako mwenyewe. Bila kuzingatia huu wasia, basi hauna budi ila kuandamwa kwa makosa au madai ya wenzako.
Haya kuwa na usiku mwanana. Ila tuu ni ahsante kwa kunichekesha. Mida kama za saa hii huwa sio rahisi mtu akawa ni wa kupata cha kumchekesha.Mbona hata sisi hutukanwa tuu humu lakini hatubanduki
Usiku Mwema naona hatuwezi kufika hutuke nabishana na mtu mwenye masters in philosophy. Wabishana Sana Hawa watu .
Wivu ni kitu kibaya sana..
Nani awaonee wivu nyie wakenya kwa lipi sasa?Chaweza kuua pia!.....umeona eeeh?
Eeh..Chaweza kuua pia!.....umeona eeeh?
Hii Mombasa Port wenye nchi yao wakijitenga mtakuwa na kitu cha kujivunia?
aliyekwambia mombasa twataka kujitenga nani..Wajinga wawili hawatuamlii tunachotaka we nyumbu...siniwakenya damu na utangoja sana kutenganaHii Mombasa Port wenye nchi yao wakijitenga mtakuwa na kitu cha kujivunia?
We Tzs we at the side of the Heroes so what?
Khaa utananifanya nipate kinyaaa. Lugha ya malikia nyie kenya mnaijua. Hebu toa ushamba wa kwenu Turkana. Kawasaidie ndugu zako hawa chiniDon't ever speak english in the presence of kenyans...Utajiaibisha bure
Lamu portHii Mombasa Port wenye nchi yao wakijitenga mtakuwa na kitu cha kujivunia?
Hapa mnampango gani mbona hunipi jibu? Nipe ramani ya plan zenuDongo kunda bypass.
View attachment 340296
Jibu la hii ni uangalie slum upgrade ya kibera. Laa sivyo hapa hutoshika kitu.Hapa mnampango gani mbona hunipi jibu? Nipe ramani ya plan zenu
View attachment 340303 View attachment 340304
Hawa jamaa wachana nao. Huwa hawajui mambo ya 'siblings rivaltry' wakiona tukigaragazana wao huona ni vita. Hii malumbano yetu ndio yalituletea: katiba mpya, Ujenzi wa thika Highway, Upgrading of JKIA and coastal ports. Rural electrification,SGR outer ring constraction etc. Kelele za chura wachana nazo. Maji tutayafyonza tuu.aliyekwambia mombasa twataka kujitenga nani..Wajinga wawili hawatuamlii tunachotaka we nyumbu...siniwakenya damu na utangoja sana kutengana
Don't you ever get tired of being answered this question ? Ama the transformation shocks you...Hapa mnampango gani mbona hunipi jibu? Nipe ramani ya plan zenu
View attachment 340303 View attachment 340304
Aaaaa nipe mpango mzima. Kibera mpaka lini itakuwa poa? Maana inatia kinyaa dunia nzima. Hivi ni nani alijenga hizo slums. Ni Kenyatta au? Hebu nijibie maswali yangu. Maana mnaleta miradi na picha kibao huku kibera mmeiacha nyuma wakati hiyo ni first priority maana watu wanakufa hovyo hovyo.Don't you ever get tired of being answered this question ? Ama the transformation shocks you...
Slums in Kenya are changing, deal with that.
Wee nenda kaolewe kibra.unaonyeshwa mambo yanavyobadilishwa bado una shuta tu .Aaaaa nipe mpango mzima. Kibera mpaka lini itakuwa poa? Maana inatia kinyaa dunia nzima. Hivi ni nani alijenga hizo slums. Ni Kenyatta au? Hebu nijibie maswali yangu. Maana mnaleta miradi na picha kibao huku kibera mmeiacha nyuma wakati hiyo ni first priority maana watu wanakufa hovyo hovyo.
Aaaaa nipe mpango mzima. Kibera mpaka lini itakuwa poa? Maana inatia kinyaa dunia nzima. Hivi ni nani alijenga hizo slums. Ni Kenyatta au? Hebu nijibie maswali yangu. Maana mnaleta miradi na picha kibao huku kibera mmeiacha nyuma wakati hiyo ni first priority maana watu wanakufa hovyo hovyo.