Miradi ya Marekani ni sawa na kuhonga vigogo hakuna kitu kusaidia maendeleo

Miradi ya Marekani ni sawa na kuhonga vigogo hakuna kitu kusaidia maendeleo

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Nimekaa hapa naona TBC marekani eti wametoa bilioni 70 mradi wa mazingira kuhifadhi chimpanzee wa Gombe. Namuona yule mama mzungu wa chimpanzee.

Eti ndio msaada wa Marekani. Tena balozi kasema wazi misaada yao ni kusaidia maslahi ya Marekani.

Kama kawaida ya misaada ya wamarekani hela zitaishia kuliwa tu kwa magari mafuta safari na wamarekani wenyewe na vigogo wenyeji watakaohusika na miraji itakayoishia kwenye ulaji tu.

Wamarekani sio hawajui nini kitatokea ila wanajua watakua wamehonga kwa namna fulani vigogo wetu.

Mfano rahisi kwa miradi ya kuhonga vigogo siku za nyuma ni kama ile ya kuondoa malaria tangu awamu ya kwanza hela nyingi zilitolewa na vigogo wakiandika taarifa za uongo kuhusu mafanikio.

Kuna ule mradi wa kuua kunguru weusi za msaada hela zilitolewa na taarifa za uongo zikawa zinatolewa eti kunguru wanaisha wakati wanaongezeka. Hivi leo kunguru weusi ni balaa.

Marekani na rafiki zao wa magharibu wamekuwa na miradi danganya toto hela zikiishia kuhonga vigogo wa serikali zetu Afrika.

Miradi na wachina na kiasi wajapani imesaidia kwa kuwa na matokeo chanya Afrika sio wamagharibi wakiongozwa na Marekani.
 
Kuna clip jamaa mzungu akitoa somo kuhusu hii misaada na mikopo tunayopewa Africa ,kwa hakika inafikirisha sana.
 
Nimekaa hapa naona TBC marekani eti wametoa bilioni 70 mradi wa mazingira kuhifadhi chimpanzee wa gombe. Namuona yule mama mzungu wa chimpanzee.
Eti ndio msaada wa marekani. Tena balozi kasema wazi misaada yao ni kusaidia maslahi ya marekani.
Kama kawaida ya misaada ya wamarekani hela zitaishia kuliwa tu kwa magari mafuta safari na wamarekani wenyewe na vigogo wenyeji watakaohusika na miraji itakayoishia kwenye ulaji tu. Wamarekani sio hawajui nini kitatokea ila wanajua watakua wamehonga kwa namna fulani vigogo wetu.
Mfano mrahisi kwa miradi ya kuhonga vigogo siku za nyuma ni kama ile ya kuondoa malaria tangu awamu ya kwanza hela nyingi zilitolewa na vigogo wakiandika taarifa za uongo kuhusu mafanikio.
Kuna ule mradi wa kuua kunguru weusi za msaada hela zilitolewa na taarifa za uongo zikawa zinatolewa eti kunguru wanaisha wakati wanaongezeka. Hivi leo kunguru weusi ni balaa.
Marekani na rafiki zao wa magharibu wamekua na miradi danganya toto hela zikiishia kuhonga vigogo wa serikali zetu afrika.
Miradi na wachina na kiasi wajapani imesaidia kwa kua na matokeo chanya afrika sio wamagharibi wakiongozwa na marekani.
Umenikumbusha mradi wa kuleta kunguru weusi kutoka Asia kwajili ya kupunguza Takataka mitaani.

Badae ukaja mradi wa kuwaua kunguru hao kupunguza kero, ccm wanajina wajanja sanaa.
 
Miradi na wachina na kiasi wajapani imesaidia kwa kua na matokeo chanya afrika sio wamagharibi wakiongozwa na marekani.
Wachina ? ....upo serious wewe....hata wachina ni mabeberu wapya tu.
 
Kuna clip jamaa mzungu akitoa somo kuhusu hii misaada na mikopo tunayopewa Africa ,kwa hakika inafikirisha sana.
Hiyo misaada pia ni moja ya ajira na biashara za watu tu.
 
Nimekaa hapa naona TBC marekani eti wametoa bilioni 70 mradi wa mazingira kuhifadhi chimpanzee wa gombe. Namuona yule mama mzungu wa chimpanzee.
Eti ndio msaada wa marekani. Tena balozi kasema wazi misaada yao ni kusaidia maslahi ya marekani.
Kama kawaida ya misaada ya wamarekani hela zitaishia kuliwa tu kwa magari mafuta safari na wamarekani wenyewe na vigogo wenyeji watakaohusika na miraji itakayoishia kwenye ulaji tu. Wamarekani sio hawajui nini kitatokea ila wanajua watakua wamehonga kwa namna fulani vigogo wetu.
Mfano mrahisi kwa miradi ya kuhonga vigogo siku za nyuma ni kama ile ya kuondoa malaria tangu awamu ya kwanza hela nyingi zilitolewa na vigogo wakiandika taarifa za uongo kuhusu mafanikio.
Kuna ule mradi wa kuua kunguru weusi za msaada hela zilitolewa na taarifa za uongo zikawa zinatolewa eti kunguru wanaisha wakati wanaongezeka. Hivi leo kunguru weusi ni balaa.
Marekani na rafiki zao wa magharibu wamekua na miradi danganya toto hela zikiishia kuhonga vigogo wa serikali zetu afrika.
Miradi na wachina na kiasi wajapani imesaidia kwa kua na matokeo chanya afrika sio wamagharibi wakiongozwa na marekani.
Afadhali umenisemea yaani yule bibi kikongwe kapewa USD 29 Milioni kwa ajili ya uhifadhi wa Sokwe na si binaadamu pesa yote hiyo itarudi kwa huyo kikongwe kula maisha, yaani hifadhi za Gombe na hao Sokwe ni kama mali yake binafsi,kikongwe anatumia hawa sokwe kujinufaisha yeye mwenyewe na washirika wake huku akipata sifa za bure,hao sokwe tunao miaka na miaka kipi kipya anchokifanhya? kikongwe kapata umaarufu kwa kutumia mgongo wa ujinga wetu wenyewe, anaingia na kutoka kama yupo nyumbani kwake.
 
Wachina ? ....upo serious wewe....hata wachina ni mabeberu wapya tu.
Tunakumbuka tazara, kiwanda cha urafiki, kiwanda cha majembe enzi hizo za wahenga. Makampuni yao ya ujenzi yana bei nzuri kwenye majengo barabara na hata sasa kwenye SGR wapo. Pia bidhaa zao bei ni nafuu etc etc. Hakika uchangiaji wa china afrika ni mkubwa sana. Ila usisahau na wao makamuni yao yanafanya biashara kwa hivyo wanatafuta faida.
 
Back
Top Bottom