Miradi ya Meli, SGR na Maji yakwama Mwanza, pesa zinapigwa na Serikali yagoma kupeleka pesa

Hakuna kipindi ufisadi mkubwa ulifanyika kama kipindi cha magufuuli
 
CCM ni laana
 
Jengo la uwanja wa ndege lilisainiwa mkataba kwa gishindo na magreda sasa hivi kimya Msukuma na Tabasamu tokezeni tuwasikie vinginevyo mtajivunjia heshima uchaguzi unakuja
Tutamkumbuka Jiwe Kwa mabaya yake
 
Kama wanaokula pesa Ni hao hao wasukuma walengwa, sisi tuseme Nini.
Kwa kuwasaidia tu msukuma mwenzao makonda apelekwe huko asimamie.
 
Hakuna kipindi ufisadi mkubwa ulifanyika kama kipindi cha magufuuli
Hizo ni nadharia tu ambazo tunalazimishwa kuzikubali, lakini hakuna uhalisia wowote.

Serikali ilibana matumizi, serikali ilidhibiti rushwa na wizi, matokeo yake serikali ikapata hela zakufanya mambo meengi ambayo Leo hii yanasuasua maana wizi umetamalaki kila kona na serikali haina hela inaishia kukopakopa na kuomba misaada huku na kule.
 
Maza kazidiwa na majangili
 
Story nyingi vitendo zero, kwani hawakujua hivyo viti na finishing vinahitajika wakati wana design hiyo meli, acheni excuses za kipuuzi, ni wizi na uzembe tuu au hakuna pesa, uwongo wa kifala kama huu unaudhi sana
 
Story nyingi vitendo zero, kwani hawakujua hivyo viti na finishing vinahitajika wakati wana design hiyo meli, acheni excuses za kipuuzi, ni wizi na uzembe tuu au hakuna pesa, uwongo wa kifala kama huu unaudhi sana
Subiri mambo mazuri, watu wenye laana huwa wanapenda kulalamika
 
Hakuna kipindi ufisadi mkubwa ulifanyika kama kipindi cha magufuuli
Hero ufaisadi huku miradi inatekelezwa kuluko sasa ufisadi na hamna chichote kinachoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…