Miradi ya PPP iliyopo katika tovuti ambayo yahitaji wawekezaji wa nje, kwanini wawekezaji wakimbilia Tanesco pekee ambayo haimo hata kwenye orodha?

Miradi ya PPP iliyopo katika tovuti ambayo yahitaji wawekezaji wa nje, kwanini wawekezaji wakimbilia Tanesco pekee ambayo haimo hata kwenye orodha?

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Miradi ifuatayo ambayo imeorodheshwa katika tovuti ya PPP ni miradi ambayo yatafutiwa wawezekazi wa nje.

Sasa kwanini Tanesco imeingizwa humo na kuanza kupigiwa debe sana huku miradi kama hoteli ya hadhi uwanjani JNIA na "shopping centre" hapohapo ikiwa bado yadoda?

Ifuatayo ni miradi hiyo:

Available PPP projects:

The following is a list of some projects available at different stages of the procurement:
· Development of oil Jetty and Tank Farms – Dar es Salaam Port
· Development of a Four-Star Airport Hotel at JNIA
· Development of a Commercial Complex at Julius Nyerere International Airport (JNIA)
· Development of Cargo Terminal with Cold Storage Facilities at Songwe and Njombe Airports
· 60 MWA Zuzu Solar Power Generation
· 50 MWA Same Solar Power Generation
· 100 MWA Manyoni Solar Power Generation
· 358 MW Ruhudji Hydropower Project

222 MW Rumakali Hydropower Project
· Dar es Salaam, Lindi and Mtwara Gas Distribution
· 82 km Tanzania – Malawi Interconnector Project
· Dar es Salaam Commuter Railway Services
· Mtwara – Mbamba Bay Rail
· Railway Rolling Stocks
· Development of the Bagamoyo Port
· Construction of the Igawa – Tunduma Expressway
· Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway
· Inner and Outer ring roads in Dodoma and Dar es Salaam
· Island/Mgao area - Mtwara Dry Port
· Lake Victoria Port and Nansio Port Ukerewe.

Hatukatai uwekezaji lakini kweli tumekosa wawezeaji wa ndani ambao wana fedha na wanohitaji ni mwongozo wa uendeshaji wa makampuni ya kushughulika na miradi hiyo hapo juu?

Isitoshe Tanesco haimo katika orodha hiyo lakini kwanini yenyewe ndo imekuwa hivi karibuni ikigombaniwa ili wawekezaji wachukue miradi ambayo tayari imesimama?

Je, twarudi tena kulekule kwenye Symbian, IPTL, na ile kampuni ya Afrika Kusini ya NetGroup Solution ambayo iliendesha Tanesco kati ya mwaka 2002 hadi 2006?

Itakumbukwa kwamba mwaka jana mwezi Julai Tanesco ilitangaza kuwa imepata faida ya shilingi bilioni 110 (kwa mujibu wa gazeti la Citizen) Tanesco makes record Sh110 billion profit , faida ilotangazwa na alekuwa mkurugenzi mtendaji bwana Maharage Chande, sasa leo mwaka mmoja kweli Tanesco imeshindwa kufanya uwekezaji wa miundombinu yake kwa utaratibu inoeleweka?

Na hata kabla ya mwaka 2023 gazeti la Daily News la mwezi August mwaka 2023 liliripoti taarifa ya fedha ya Tanesco ya 2022/2022 ikisema shirika hilo lilipata faida ya shilingi bilioni 109 TANESCO starts with right foot to transformation - Daily News na Tanesco wakasema kuwa shirika hilo limeanza rasmi kujibadili ili kujiendesha kwa ufanisi.

Pia Tanesco kupitia bwana Chande ikasema ina mpango wa kimkakati wa miaka 10 kuboresha shughuli za shirika hilo, je mpango huo ndo umewekwa kapuni?

Tunaelewa kuwa Tanesco ina tatizo la uendeshaji na kwa miongo sita tangia Uhuru shirika hilo limekuwa na matatizo ya uendeshaji wenye ufanisi, vipi sera ya nishati imeishapitiwa hata kidogo kuangalia ni wapi twahitaji ushauri wa kitaalam wa namna ya kutoa huduma ya umeme kwa watanzania?

Vipo kuhusu bwawa la umeme wa Mwalimu Nyerere nalo litasaidia vipi shughuli za wawekezaji binafsi au ndo Tanesco imegawanywa kuwa sehemu tatu uzalishaji, ugavi na usambazaji bila kupitishwa sheria yoyote bungeni?

PPP ilipoanzishwa mapema mwaka huu chini ya Kafulila, Mwenda, Bi Tatu, na Mafuru hawa ndo watu wa kuwawezesha watanzania kununua umeme wa bei nafuu, au ndo wapo kuhakikisha ukoloni mamboleo unajikita rasmi barani Afrika?
 
Hakuna mwekezaji anatoka nje zaidi ya utapeli wa hii serikali ya hovyo
Tena ukiona mzungu anawekwa kwenye list ya makampuni ya kuwekeza ogopa sana, makampuni mengi ya ulaya utayakuta London stock market ama New York stock exchange ila Cha ajabu kampuni ya ulaya imerejestiwa Hong Kong na visiwa vya Ushelisheli jua hapo ni wabongo na matapeli ya kihindi ndiyo mamilikinya hizo kampuni hewa.
 
Kusema kweli chanzo cha taarifa nilichokiona mimi kilileta taarifa kikimaanisha kuna mwekezaji wa umeme ambaye anakuja kua kama mshindani wa Tanesco na siyo kua muendeshaji wa Tanesco.
Kama mshindani kwenye eneo gani uzalishaji, usambazaji au uuzaji umeme?

Pia mimi hoja yangu ni kwamba Tanesco haimo katika orodha ya featured projects je ipo orodha ingine ya pembeni ambayo ndo Tanesco imo humo?
 
Hata kama mradi Haupo sio tatizo wala ajabu mtu binafsi kuja na proposal yake iwapo anaona ni bora zaidi na ana uwezo na Serikali haina uwezo huo....

Ingawa kwa hili sioni tija yoyote na kama anakuja na proposal nashangaa serikali imegeuka kuwa mtetezi na dalali....

 
MIradi ifuatayo ambayo imeorodheshwa katika tovuti ya PPP ni miradi ambayo yatafutiwa wawezekazi wa nje.

Sasa kwanini Tanesco imeingizwa humo na kuanza kupigiwa debe sana huku miradi kama hoteli ya hadhi uwanjani JNIA na "shopping centre" hapohapo ikiwa bado yadoda?

Ifuatayo ni miradi hiyo:

Available PPP projects:

The following is a list of some projects available at different stages of the procurement:
· Development of oil Jetty and Tank Farms – Dar es Salaam Port
· Development of a Four-Star Airport Hotel at JNIA
· Development of a Commercial Complex at Julius Nyerere International Airport (JNIA)
· Development of Cargo Terminal with Cold Storage Facilities at Songwe and Njombe Airports
· 60 MWA Zuzu Solar Power Generation
· 50 MWA Same Solar Power Generation
· 100 MWA Manyoni Solar Power Generation
· 358 MW Ruhudji Hydropower Project
222 MW Rumakali Hydropower Project
· Dar es Salaam, Lindi and Mtwara Gas Distribution
· 82 km Tanzania – Malawi Interconnector Project
· Dar es Salaam Commuter Railway Services
· Mtwara – Mbamba Bay Rail
· Railway Rolling Stocks
· Development of the Bagamoyo Port
· Construction of the Igawa – Tunduma Expressway
· Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway
· Inner and Outer ring roads in Dodoma and Dar es Salaam
· Island/Mgao area - Mtwara Dry Port
· Lake Victoria Port and Nansio Port Ukerewe.

Hatukatai uwekezaji lakini kweli tumekosa wawezeaji wa ndani ambao wana fedha na wanohitaji ni mwongozo wa uendeshaji wa makampuni ya kushughulika na miradi hiyo hapo juu?

Isitoshe Tanesco haimo katika orodha hiyo lakini kwanini yenyewe ndo imekuwa hivi karibuni ikigombaniwa ili wawekezaji wachukue miradi ambayo tayari imesimama?

Je, twarudi tena kulekule kwenye Symbian, IPTL, na ile kampuni ya Afrika Kusini ya NetGroup Solution ambayo iliendesha Tanesco kati ya mwaka 2002 hadi 2006?

Itakumbukwa kwamba mwaka jana mwezi Julai Tanesco ilitangaza kuwa imepata faida ya shilingi bilioni 110 (kwa mujibu wa gazeti la Citizen) Tanesco makes record Sh110 billion profit , faida ilotangazwa na alekuwa mkurugenzi mtendaji bwana Maharage Chande, sasa leo mwaka mmoja kweli Tanesco imeshindwa kufanya uwekezaji wa miundombinu yake kwa utaratibu inoeleweka?

Na hata kabla ya mwaka 2023 gazeti la Daily News la mwezi August mwaka 2023 liliripoti taarifa ya fedha ya Tanesco ya 2022/2022 ikisema shirika hilo lilipata faida ya shilingi biloini 109 TANESCO starts with right foot to transformation - Daily News na Tanesco wakasema kuwa shirika hilo limeanza rasmi kujibadili ili kujiendesha kwa ufanisi.

Pia Tanesco kupitia bwana Chande ikasema ina mpango wa kimkakati wa miaka 10 kuboresha shughuli za shurika hilo, je moango huo ndoi umewekwa kapuni?

Tunaelewa kuwa Tanesco ina tatizo la uendeshaji na kwa miongo sita tangia Uhuru shirika hilo limekuwa na matatizo ya uendeshaji wenye ufanisi, vipi sera ya nishati imeishapitiwa hata kidogo kuangalia ni wapi twahitaji ushauri wa kitaalam wa namna ya kutoa huduma ya umeme kwa watanzania?

Vipo kuhusu bwawa la umeme wa Mwalimu Nyerere nalo litasaidia vipi shughuli za wawekezaji binafsi au ndo Tanesco imegawanywa kuwa sehemu tatu uzalishaji, ugavi na usambazaji bila kupitishwa sheria yoyote bungeni?

PPP ilipoanzishwa mapema mwaka huu chini ya Kafulila, Mwenda, Bi Tatu, na Mafuru hawa ndo watu wa kuwawezesha watanzania kununua umeme wa bei nafuu, au ndo wapo kuhakikisha ukoloni mamboleo unajikita rasmi barani Afrika?
Kwa hiyo wakienda Tanesco wanaenda kutekeleza nini? Mbona hapo kwenye orodha Kuna utitiri wa miradi ya Tanesco kuanzia ya kusafirisha umeme Hadi ujenzi wa mabwawa ya umeme na sola?

Au hujui ulichoongea?
 
Kama mshindani kwenye eneo gani uzalishaji, usambazaji au uuzaji umeme?

Pia mimi hoja yangu ni kwamba Tanesco haimo katika orodha ya featured projects je ipo orodha ingine ya pembeni ambayo ndo Tanesco imo humo?
Naona nilikua misled ama sikuelewa vizuri.

Hoja yako ni ya msingi bahati mbaya sidhani kama kuna media itauliza hilo ili jibu lipatikane
 
Kusema kweli chanzo cha taarifa nilichokiona mimi kilileta taarifa kikimaanisha kuna mwekezaji wa umeme ambaye anakuja kua kama mshindani wa Tanesco na siyo kua muendeshaji wa Tanesco.
Sasa kama anakuja kama mshindani si tena angekaribishwa kabisa kwa vifijo ? Kwanini ahitaji kampuni yetu sisi UMMA katika ushindani wake ? Hii issue tatizo tunadanganywa kwamba ujio wa hawa watu ndio suluhisho la bei na mgao ila tunasahau kwamba huu sio mwanzo walishakuja na wengine wapo mpaka dakika (majuzi niliona makamba anaingia mikataba na watu wazalishe umeme kwa solar ili wawauzie Tanesco) nashindwa kuelewa kama ni solar kwanini tulete mtu atuzalishie wakati kila mtanzania anaweza akawa mzalishaji... Na usambazaji kama kilichopo tunaambiwa hakitoshi tunasambaza nini....

 
Kwa hiyo wakienda Tanesco wanaenda kutekeleza nini? Mbona hapo kwenye orodha Kuna utitiri wa miradi ya Tanesco kuanzia ya kusafirisha umeme Hadi ujenzi wa mabwawa ya umeme na sola?

Au hujui ulichoongea?
Soma tena mada uelewe.
 
MIradi ifuatayo ambayo imeorodheshwa katika tovuti ya PPP ni miradi ambayo yatafutiwa wawezekazi wa nje.

Sasa kwanini Tanesco imeingizwa humo na kuanza kupigiwa debe sana huku miradi kama hoteli ya hadhi uwanjani JNIA na "shopping centre" hapohapo ikiwa bado yadoda?

Ifuatayo ni miradi hiyo:

Available PPP projects:

The following is a list of some projects available at different stages of the procurement:
· Development of oil Jetty and Tank Farms – Dar es Salaam Port
· Development of a Four-Star Airport Hotel at JNIA
· Development of a Commercial Complex at Julius Nyerere International Airport (JNIA)
· Development of Cargo Terminal with Cold Storage Facilities at Songwe and Njombe Airports
· 60 MWA Zuzu Solar Power Generation
· 50 MWA Same Solar Power Generation
· 100 MWA Manyoni Solar Power Generation
· 358 MW Ruhudji Hydropower Project
222 MW Rumakali Hydropower Project
· Dar es Salaam, Lindi and Mtwara Gas Distribution
· 82 km Tanzania – Malawi Interconnector Project
· Dar es Salaam Commuter Railway Services
· Mtwara – Mbamba Bay Rail
· Railway Rolling Stocks
· Development of the Bagamoyo Port
· Construction of the Igawa – Tunduma Expressway
· Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway
· Inner and Outer ring roads in Dodoma and Dar es Salaam
· Island/Mgao area - Mtwara Dry Port
· Lake Victoria Port and Nansio Port Ukerewe.

Hatukatai uwekezaji lakini kweli tumekosa wawezeaji wa ndani ambao wana fedha na wanohitaji ni mwongozo wa uendeshaji wa makampuni ya kushughulika na miradi hiyo hapo juu?

Isitoshe Tanesco haimo katika orodha hiyo lakini kwanini yenyewe ndo imekuwa hivi karibuni ikigombaniwa ili wawekezaji wachukue miradi ambayo tayari imesimama?

Je, twarudi tena kulekule kwenye Symbian, IPTL, na ile kampuni ya Afrika Kusini ya NetGroup Solution ambayo iliendesha Tanesco kati ya mwaka 2002 hadi 2006?

Itakumbukwa kwamba mwaka jana mwezi Julai Tanesco ilitangaza kuwa imepata faida ya shilingi bilioni 110 (kwa mujibu wa gazeti la Citizen) Tanesco makes record Sh110 billion profit , faida ilotangazwa na alekuwa mkurugenzi mtendaji bwana Maharage Chande, sasa leo mwaka mmoja kweli Tanesco imeshindwa kufanya uwekezaji wa miundombinu yake kwa utaratibu inoeleweka?

Na hata kabla ya mwaka 2023 gazeti la Daily News la mwezi August mwaka 2023 liliripoti taarifa ya fedha ya Tanesco ya 2022/2022 ikisema shirika hilo lilipata faida ya shilingi biloini 109 TANESCO starts with right foot to transformation - Daily News na Tanesco wakasema kuwa shirika hilo limeanza rasmi kujibadili ili kujiendesha kwa ufanisi.

Pia Tanesco kupitia bwana Chande ikasema ina mpango wa kimkakati wa miaka 10 kuboresha shughuli za shurika hilo, je moango huo ndoi umewekwa kapuni?

Tunaelewa kuwa Tanesco ina tatizo la uendeshaji na kwa miongo sita tangia Uhuru shirika hilo limekuwa na matatizo ya uendeshaji wenye ufanisi, vipi sera ya nishati imeishapitiwa hata kidogo kuangalia ni wapi twahitaji ushauri wa kitaalam wa namna ya kutoa huduma ya umeme kwa watanzania?

Vipo kuhusu bwawa la umeme wa Mwalimu Nyerere nalo litasaidia vipi shughuli za wawekezaji binafsi au ndo Tanesco imegawanywa kuwa sehemu tatu uzalishaji, ugavi na usambazaji bila kupitishwa sheria yoyote bungeni?

PPP ilipoanzishwa mapema mwaka huu chini ya Kafulila, Mwenda, Bi Tatu, na Mafuru hawa ndo watu wa kuwawezesha watanzania kununua umeme wa bei nafuu, au ndo wapo kuhakikisha ukoloni mamboleo unajikita rasmi barani Afrika?
Kama wakuu wanashindwa kuimarisha usimamizi wa serikali yenyewe kwenye miradi yake, kwanini wako madarakani?
 
Sasa kama anakuja kama mshindani si tena angekaribishwa kabisa kwa vifijo ? Kwanini ahitaji kampuni yetu sisi UMMA katika ushindani wake ? Hii issue tatizo tunadanganywa kwamba ujio wa hawa watu ndio suluhisho la bei na mgao ila tunasahau kwamba huu sio mwanzo walishakuja na wengine wapo mpaka dakika (majuzi niliona makamba anaingia mikataba na watu wazalishe umeme kwa solar ili wawauzie Tanesco) nashindwa kuelewa kama ni solar kwanini tulete mtu atuzalishie wakati kila mtanzania anaweza akawa mzalishaji... Na usambazaji kama kilichopo tunaambiwa hakitoshi tunasambaza nini....

Ipo kampuni kama ya SSI Energy ambayo yazalisha umeme wa solar.

Sidhani kama hata kampuni hii ipo au ipoipo yaelea mahala.

Kampuni hii ingechagiza kuwepo kampuni nyingi za uzalishaji umeme za watanzania wenyewe.

Vijana si wapo wamesomea masuala ya umeme na nishati?

Hawa ndo wa kuwezeshwa na serikali kuanzisha IPPs za kuzalisha umeme wowote kisha kuuza umeme huo kwa Tanesco.

Na si lazima umeme wa jua pekee, upo umeme wa mabaki ya vyakula na taka (Thermal Power), Umeme wa vinyesi au Biogas na umeme wa upepo (Windmill Farms).

Isitoshe, Tanzania tuna makaa ya mawe Kiwira na Mchuchuma yote hayo yaweza kuingiza umeme katika grid ya Taifa.
 
Ipo kampuni kama ya SSI Energy ambayo yazalisha umeme wa solar.

Sidhani kama hata kampuni hii ipo au ipoipo yaelea mahala.

Kampuni hii ingechagiza kuwepo kampuni nyingi za uzalishaji umeme za watanzania wenyewe.

Vijana si wapo wamesomea masuala ya umeme na nishati?

Hawa ndo wa kuwezeshwa na serikali kuanzisha IPPs za kuzalisha umeme wowote kisha kuuza umeme huo kwa Tanesco.

Na si lazima umeme wa jua pekee, upo umeme wa mabaki ya vyakula na takla (Thermal Power), Umeme wa vinyesi au Biogas na umeme wa upepo (Windmill Power).
Vijana wamegeukia kuwa mafrelancer na wauzaji wa mafuta kwenye vituo vya uuzaji wa mafuta ila Degree zao ziko kabatini
Sad
 
Vijana wamegeukia kuwa mafrelancer na wauzaji wa mafuta kwenye vituo vya uuzaji wa mafuta ila Degree zao ziko kabatini
Sad
Miaka 10 ijayo Tanzania itaachwa nyuma sana kwenye kila eneo na idadi ya wasomi lakini waso na uwezo wa kufikiri (critical thinking capacity) itakuwa kubwa mno huku wajanja wakishika njia zote kuu za uchumi.

Wenzetu Wakenya wamo kwenye kutafuta wawezekaji wa nje ambao watawasaidia kuendeleza miradi ambayo wakenya wenyewe wameibuni na kuianzisha.

Kwa mfano kampuni ya Gridworks Development Partners ni ya UK lakini mpaka kwenye bodi ya wakurugenzi na utawala (management) ni wakenya. Ndo maana waiita development partners yaani wabia katika biashara lakini si kampuni ambayo yamilikiwa na mtu mmoja kama ya bwanyenye kutoka India aitwae Adani.

Miradi mingi ya hii kampuni ya Gridworks Development Partners ipo Afrika na mameneja katika nchi hizo za Afrika ni waafrika, na huko ndiko kujitambua na kujiletea maendeleo weye mwenyewe bila kuingia eneo la tukio la ukoloni mamboleo.
 
MIradi ifuatayo ambayo imeorodheshwa katika tovuti ya PPP ni miradi ambayo yatafutiwa wawezekazi wa nje.

Sasa kwanini Tanesco imeingizwa humo na kuanza kupigiwa debe sana huku miradi kama hoteli ya hadhi uwanjani JNIA na "shopping centre" hapohapo ikiwa bado yadoda?

Ifuatayo ni miradi hiyo:

Available PPP projects:

The following is a list of some projects available at different stages of the procurement:
· Development of oil Jetty and Tank Farms – Dar es Salaam Port
· Development of a Four-Star Airport Hotel at JNIA
· Development of a Commercial Complex at Julius Nyerere International Airport (JNIA)
· Development of Cargo Terminal with Cold Storage Facilities at Songwe and Njombe Airports
· 60 MWA Zuzu Solar Power Generation
· 50 MWA Same Solar Power Generation
· 100 MWA Manyoni Solar Power Generation
· 358 MW Ruhudji Hydropower Project

222 MW Rumakali Hydropower Project
· Dar es Salaam, Lindi and Mtwara Gas Distribution
· 82 km Tanzania – Malawi Interconnector Project
· Dar es Salaam Commuter Railway Services
· Mtwara – Mbamba Bay Rail
· Railway Rolling Stocks
· Development of the Bagamoyo Port
· Construction of the Igawa – Tunduma Expressway
· Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway
· Inner and Outer ring roads in Dodoma and Dar es Salaam
· Island/Mgao area - Mtwara Dry Port
· Lake Victoria Port and Nansio Port Ukerewe.

Hatukatai uwekezaji lakini kweli tumekosa wawezeaji wa ndani ambao wana fedha na wanohitaji ni mwongozo wa uendeshaji wa makampuni ya kushughulika na miradi hiyo hapo juu?

Isitoshe Tanesco haimo katika orodha hiyo lakini kwanini yenyewe ndo imekuwa hivi karibuni ikigombaniwa ili wawekezaji wachukue miradi ambayo tayari imesimama?

Je, twarudi tena kulekule kwenye Symbian, IPTL, na ile kampuni ya Afrika Kusini ya NetGroup Solution ambayo iliendesha Tanesco kati ya mwaka 2002 hadi 2006?

Itakumbukwa kwamba mwaka jana mwezi Julai Tanesco ilitangaza kuwa imepata faida ya shilingi bilioni 110 (kwa mujibu wa gazeti la Citizen) Tanesco makes record Sh110 billion profit , faida ilotangazwa na alekuwa mkurugenzi mtendaji bwana Maharage Chande, sasa leo mwaka mmoja kweli Tanesco imeshindwa kufanya uwekezaji wa miundombinu yake kwa utaratibu inoeleweka?

Na hata kabla ya mwaka 2023 gazeti la Daily News la mwezi August mwaka 2023 liliripoti taarifa ya fedha ya Tanesco ya 2022/2022 ikisema shirika hilo lilipata faida ya shilingi biloini 109 TANESCO starts with right foot to transformation - Daily News na Tanesco wakasema kuwa shirika hilo limeanza rasmi kujibadili ili kujiendesha kwa ufanisi.

Pia Tanesco kupitia bwana Chande ikasema ina mpango wa kimkakati wa miaka 10 kuboresha shughuli za shurika hilo, je moango huo ndoi umewekwa kapuni?

Tunaelewa kuwa Tanesco ina tatizo la uendeshaji na kwa miongo sita tangia Uhuru shirika hilo limekuwa na matatizo ya uendeshaji wenye ufanisi, vipi sera ya nishati imeishapitiwa hata kidogo kuangalia ni wapi twahitaji ushauri wa kitaalam wa namna ya kutoa huduma ya umeme kwa watanzania?

Vipo kuhusu bwawa la umeme wa Mwalimu Nyerere nalo litasaidia vipi shughuli za wawekezaji binafsi au ndo Tanesco imegawanywa kuwa sehemu tatu uzalishaji, ugavi na usambazaji bila kupitishwa sheria yoyote bungeni?

PPP ilipoanzishwa mapema mwaka huu chini ya Kafulila, Mwenda, Bi Tatu, na Mafuru hawa ndo watu wa kuwawezesha watanzania kununua umeme wa bei nafuu, au ndo wapo kuhakikisha ukoloni mamboleo unajikita rasmi barani Afrika?
Asante mkuu. Umegusa all salient points.
 
Kuna watu flani wanastahili kufutwa kazi na UMMA, wanajiita usalama wa Taifa...very hopeless kabisa.
Na pia wapo watu ambao wapo kupiga tu lakini ni wenye nguvu kwenye mfumo na huwezi kuwafuta.

Hapo ndipo penye tatizo.
 
Tena ukiona mzungu anawekwa kwenye list ya makampuni ya kuwekeza ogopa sana, makampuni mengi ya ulaya utayakuta London stock market ama New York stock exchange ila Cha ajabu kampuni ya ulaya imerejestiwa Hong Kong na visiwa vya Ushelisheli jua hapo ni wabongo na matapeli ya kihindi ndiyo mamilikinya hizo kampuni hewa.
Hizi ni dili za maza na majangili wenzake
 
Miradi ifuatayo ambayo imeorodheshwa katika tovuti ya PPP ni miradi ambayo yatafutiwa wawezekazi wa nje.

Sasa kwanini Tanesco imeingizwa humo na kuanza kupigiwa debe sana huku miradi kama hoteli ya hadhi uwanjani JNIA na "shopping centre" hapohapo ikiwa bado yadoda?

Ifuatayo ni miradi hiyo:

Available PPP projects:

The following is a list of some projects available at different stages of the procurement:
· Development of oil Jetty and Tank Farms – Dar es Salaam Port
· Development of a Four-Star Airport Hotel at JNIA
· Development of a Commercial Complex at Julius Nyerere International Airport (JNIA)
· Development of Cargo Terminal with Cold Storage Facilities at Songwe and Njombe Airports
· 60 MWA Zuzu Solar Power Generation
· 50 MWA Same Solar Power Generation
· 100 MWA Manyoni Solar Power Generation
· 358 MW Ruhudji Hydropower Project

222 MW Rumakali Hydropower Project
· Dar es Salaam, Lindi and Mtwara Gas Distribution
· 82 km Tanzania – Malawi Interconnector Project
· Dar es Salaam Commuter Railway Services
· Mtwara – Mbamba Bay Rail
· Railway Rolling Stocks
· Development of the Bagamoyo Port
· Construction of the Igawa – Tunduma Expressway
· Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway
· Inner and Outer ring roads in Dodoma and Dar es Salaam
· Island/Mgao area - Mtwara Dry Port
· Lake Victoria Port and Nansio Port Ukerewe.

Hatukatai uwekezaji lakini kweli tumekosa wawezeaji wa ndani ambao wana fedha na wanohitaji ni mwongozo wa uendeshaji wa makampuni ya kushughulika na miradi hiyo hapo juu?

Isitoshe Tanesco haimo katika orodha hiyo lakini kwanini yenyewe ndo imekuwa hivi karibuni ikigombaniwa ili wawekezaji wachukue miradi ambayo tayari imesimama?

Je, twarudi tena kulekule kwenye Symbian, IPTL, na ile kampuni ya Afrika Kusini ya NetGroup Solution ambayo iliendesha Tanesco kati ya mwaka 2002 hadi 2006?

Itakumbukwa kwamba mwaka jana mwezi Julai Tanesco ilitangaza kuwa imepata faida ya shilingi bilioni 110 (kwa mujibu wa gazeti la Citizen) Tanesco makes record Sh110 billion profit , faida ilotangazwa na alekuwa mkurugenzi mtendaji bwana Maharage Chande, sasa leo mwaka mmoja kweli Tanesco imeshindwa kufanya uwekezaji wa miundombinu yake kwa utaratibu inoeleweka?

Na hata kabla ya mwaka 2023 gazeti la Daily News la mwezi August mwaka 2023 liliripoti taarifa ya fedha ya Tanesco ya 2022/2022 ikisema shirika hilo lilipata faida ya shilingi bilioni 109 TANESCO starts with right foot to transformation - Daily News na Tanesco wakasema kuwa shirika hilo limeanza rasmi kujibadili ili kujiendesha kwa ufanisi.

Pia Tanesco kupitia bwana Chande ikasema ina mpango wa kimkakati wa miaka 10 kuboresha shughuli za shirika hilo, je mpango huo ndo umewekwa kapuni?

Tunaelewa kuwa Tanesco ina tatizo la uendeshaji na kwa miongo sita tangia Uhuru shirika hilo limekuwa na matatizo ya uendeshaji wenye ufanisi, vipi sera ya nishati imeishapitiwa hata kidogo kuangalia ni wapi twahitaji ushauri wa kitaalam wa namna ya kutoa huduma ya umeme kwa watanzania?

Vipo kuhusu bwawa la umeme wa Mwalimu Nyerere nalo litasaidia vipi shughuli za wawekezaji binafsi au ndo Tanesco imegawanywa kuwa sehemu tatu uzalishaji, ugavi na usambazaji bila kupitishwa sheria yoyote bungeni?

PPP ilipoanzishwa mapema mwaka huu chini ya Kafulila, Mwenda, Bi Tatu, na Mafuru hawa ndo watu wa kuwawezesha watanzania kununua umeme wa bei nafuu, au ndo wapo kuhakikisha ukoloni mamboleo unajikita rasmi barani Afrika?
Hizo ni njama za kuhujumu nchi kiuchumu na kuwa tegemezi milele

Nishati hasa umeme ni usalama wa taifa, imagine tumejenga bwawa la matrilion ya pesa kwa kodi za wananchi umeme wenyewe bado hatujautumia ipasavyo tumekwisha anza kuingia ubia baada ya gharama kubwa,ina maana huko mbeleni hawa wawekezaji wakijitoa ufahamu wa kutokutoa huduma taifa linakolapsi,

Hayati Magufuli aliwahi kutoa ufafanuzi kuhusu madhara ya kuwategemea hawa wageni kuendesha nishati,tutegemee kuambiwa wanakula hasara kila uchao,ndio michezo yao hiyo.

Hii nchi ukifikiria sana unaweza amua kujiua tu,kama wahehe,yaani mnajenga bwawa mahitaji yenu ni chini kabisa badala mpate namna ya kutanuwa wigo mnakimbilia PPP,hii itatutokea puani,tumejaza wasomi wa mavyeti tu,uwezo na tafakuri vichwani mwao ni utoko mtupu
 
Back
Top Bottom