Miradi ya PPP iliyopo katika tovuti ambayo yahitaji wawekezaji wa nje, kwanini wawekezaji wakimbilia Tanesco pekee ambayo haimo hata kwenye orodha?

Miradi ya PPP iliyopo katika tovuti ambayo yahitaji wawekezaji wa nje, kwanini wawekezaji wakimbilia Tanesco pekee ambayo haimo hata kwenye orodha?

Baada ya ujenzi wa JNHPP na uzalishaji wa umeme kutosheleza, sasa mipango ya kula jasho la watanzania kupitia wageni inaanzishwa.
Kwa akili ndogo kabisa, kama tumeweza kujenga bwawa, miundombinu ya kusafirisha ipo kwa kiasi fulani, kwa nini tusiendelee kujenga na kuboresha miundombinu ya kusambaza wenyewe?
Kuhalalisha utapeli huu, umeme utaanza kukatwa mara kwa mara.
PPP itumike kwenye ujenzi wa barabara, viwanda vya kufua vyuma na umeme kwa makaa ya mawe, kilimo n. k.
Hii ni sawa na kuwapa mbwa chakula cha watoto.
Mikataba ya IPTL, Richmond na hata SONGAS imetoa faida au hasara?
Kwa nini isiwe ni wale wale wanazunguka pale palepale wakitegemea maamuzi yale yale ya kuingia mikataba ya kipuuzi yakipambwa na nyimbo nzuri za PPP?
 
Miradi ifuatayo ambayo imeorodheshwa katika tovuti ya PPP ni miradi ambayo yatafutiwa wawezekazi wa nje.

Sasa kwanini Tanesco imeingizwa humo na kuanza kupigiwa debe sana huku miradi kama hoteli ya hadhi uwanjani JNIA na "shopping centre" hapohapo ikiwa bado yadoda?

Ifuatayo ni miradi hiyo:

Available PPP projects:

The following is a list of some projects available at different stages of the procurement:
· Development of oil Jetty and Tank Farms – Dar es Salaam Port
· Development of a Four-Star Airport Hotel at JNIA
· Development of a Commercial Complex at Julius Nyerere International Airport (JNIA)
· Development of Cargo Terminal with Cold Storage Facilities at Songwe and Njombe Airports
· 60 MWA Zuzu Solar Power Generation
· 50 MWA Same Solar Power Generation
· 100 MWA Manyoni Solar Power Generation
· 358 MW Ruhudji Hydropower Project

222 MW Rumakali Hydropower Project
· Dar es Salaam, Lindi and Mtwara Gas Distribution
· 82 km Tanzania – Malawi Interconnector Project
· Dar es Salaam Commuter Railway Services
· Mtwara – Mbamba Bay Rail
· Railway Rolling Stocks
· Development of the Bagamoyo Port
· Construction of the Igawa – Tunduma Expressway
· Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway
· Inner and Outer ring roads in Dodoma and Dar es Salaam
· Island/Mgao area - Mtwara Dry Port
· Lake Victoria Port and Nansio Port Ukerewe.

Hatukatai uwekezaji lakini kweli tumekosa wawezeaji wa ndani ambao wana fedha na wanohitaji ni mwongozo wa uendeshaji wa makampuni ya kushughulika na miradi hiyo hapo juu?

Isitoshe Tanesco haimo katika orodha hiyo lakini kwanini yenyewe ndo imekuwa hivi karibuni ikigombaniwa ili wawekezaji wachukue miradi ambayo tayari imesimama?

Je, twarudi tena kulekule kwenye Symbian, IPTL, na ile kampuni ya Afrika Kusini ya NetGroup Solution ambayo iliendesha Tanesco kati ya mwaka 2002 hadi 2006?

Itakumbukwa kwamba mwaka jana mwezi Julai Tanesco ilitangaza kuwa imepata faida ya shilingi bilioni 110 (kwa mujibu wa gazeti la Citizen) Tanesco makes record Sh110 billion profit , faida ilotangazwa na alekuwa mkurugenzi mtendaji bwana Maharage Chande, sasa leo mwaka mmoja kweli Tanesco imeshindwa kufanya uwekezaji wa miundombinu yake kwa utaratibu inoeleweka?

Na hata kabla ya mwaka 2023 gazeti la Daily News la mwezi August mwaka 2023 liliripoti taarifa ya fedha ya Tanesco ya 2022/2022 ikisema shirika hilo lilipata faida ya shilingi bilioni 109 TANESCO starts with right foot to transformation - Daily News na Tanesco wakasema kuwa shirika hilo limeanza rasmi kujibadili ili kujiendesha kwa ufanisi.

Pia Tanesco kupitia bwana Chande ikasema ina mpango wa kimkakati wa miaka 10 kuboresha shughuli za shirika hilo, je mpango huo ndo umewekwa kapuni?

Tunaelewa kuwa Tanesco ina tatizo la uendeshaji na kwa miongo sita tangia Uhuru shirika hilo limekuwa na matatizo ya uendeshaji wenye ufanisi, vipi sera ya nishati imeishapitiwa hata kidogo kuangalia ni wapi twahitaji ushauri wa kitaalam wa namna ya kutoa huduma ya umeme kwa watanzania?

Vipo kuhusu bwawa la umeme wa Mwalimu Nyerere nalo litasaidia vipi shughuli za wawekezaji binafsi au ndo Tanesco imegawanywa kuwa sehemu tatu uzalishaji, ugavi na usambazaji bila kupitishwa sheria yoyote bungeni?

PPP ilipoanzishwa mapema mwaka huu chini ya Kafulila, Mwenda, Bi Tatu, na Mafuru hawa ndo watu wa kuwawezesha watanzania kununua umeme wa bei nafuu, au ndo wapo kuhakikisha ukoloni mamboleo unajikita rasmi barani Afrika?
SAMIA NI KIBARAKA WA WAHALIFU ALIYE FANIKIWA KUWA KIONGOZI ...HIVYO ATATUMIKA NA HSO WAHALIFU AMBAO WENGI WAO NI RAIA FEKI ...KUFSNIKISHA KILA AINA YA UHUNI
 
SAMIA NI KIBARAKA WA WAHALIFU ALIYE FANIKIWA KUWA KIONGOZI ...HIVYO ATATUMIKA NA HSO WAHALIFU AMBAO WENGI WAO NI RAIA FEKI ...KUFSNIKISHA KILA AINA YA UHUNI
Ni pale unaposikia wakisema tunakuwa na amani na serikali yenye sheria na masharti rafiki.
 
Miradi ifuatayo ambayo imeorodheshwa katika tovuti ya PPP ni miradi ambayo yatafutiwa wawezekazi wa nje.

Sasa kwanini Tanesco imeingizwa humo na kuanza kupigiwa debe sana huku miradi kama hoteli ya hadhi uwanjani JNIA na "shopping centre" hapohapo ikiwa bado yadoda?

Ifuatayo ni miradi hiyo:

Available PPP projects:

The following is a list of some projects available at different stages of the procurement:
· Development of oil Jetty and Tank Farms – Dar es Salaam Port
· Development of a Four-Star Airport Hotel at JNIA
· Development of a Commercial Complex at Julius Nyerere International Airport (JNIA)
· Development of Cargo Terminal with Cold Storage Facilities at Songwe and Njombe Airports
· 60 MWA Zuzu Solar Power Generation
· 50 MWA Same Solar Power Generation
· 100 MWA Manyoni Solar Power Generation
· 358 MW Ruhudji Hydropower Project

222 MW Rumakali Hydropower Project
· Dar es Salaam, Lindi and Mtwara Gas Distribution
· 82 km Tanzania – Malawi Interconnector Project
· Dar es Salaam Commuter Railway Services
· Mtwara – Mbamba Bay Rail
· Railway Rolling Stocks
· Development of the Bagamoyo Port
· Construction of the Igawa – Tunduma Expressway
· Kibaha – Chalinze – Morogoro Expressway
· Inner and Outer ring roads in Dodoma and Dar es Salaam
· Island/Mgao area - Mtwara Dry Port
· Lake Victoria Port and Nansio Port Ukerewe.

Hatukatai uwekezaji lakini kweli tumekosa wawezeaji wa ndani ambao wana fedha na wanohitaji ni mwongozo wa uendeshaji wa makampuni ya kushughulika na miradi hiyo hapo juu?

Isitoshe Tanesco haimo katika orodha hiyo lakini kwanini yenyewe ndo imekuwa hivi karibuni ikigombaniwa ili wawekezaji wachukue miradi ambayo tayari imesimama?

Je, twarudi tena kulekule kwenye Symbian, IPTL, na ile kampuni ya Afrika Kusini ya NetGroup Solution ambayo iliendesha Tanesco kati ya mwaka 2002 hadi 2006?

Itakumbukwa kwamba mwaka jana mwezi Julai Tanesco ilitangaza kuwa imepata faida ya shilingi bilioni 110 (kwa mujibu wa gazeti la Citizen) Tanesco makes record Sh110 billion profit , faida ilotangazwa na alekuwa mkurugenzi mtendaji bwana Maharage Chande, sasa leo mwaka mmoja kweli Tanesco imeshindwa kufanya uwekezaji wa miundombinu yake kwa utaratibu inoeleweka?

Na hata kabla ya mwaka 2023 gazeti la Daily News la mwezi August mwaka 2023 liliripoti taarifa ya fedha ya Tanesco ya 2022/2022 ikisema shirika hilo lilipata faida ya shilingi bilioni 109 TANESCO starts with right foot to transformation - Daily News na Tanesco wakasema kuwa shirika hilo limeanza rasmi kujibadili ili kujiendesha kwa ufanisi.

Pia Tanesco kupitia bwana Chande ikasema ina mpango wa kimkakati wa miaka 10 kuboresha shughuli za shirika hilo, je mpango huo ndo umewekwa kapuni?

Tunaelewa kuwa Tanesco ina tatizo la uendeshaji na kwa miongo sita tangia Uhuru shirika hilo limekuwa na matatizo ya uendeshaji wenye ufanisi, vipi sera ya nishati imeishapitiwa hata kidogo kuangalia ni wapi twahitaji ushauri wa kitaalam wa namna ya kutoa huduma ya umeme kwa watanzania?

Vipo kuhusu bwawa la umeme wa Mwalimu Nyerere nalo litasaidia vipi shughuli za wawekezaji binafsi au ndo Tanesco imegawanywa kuwa sehemu tatu uzalishaji, ugavi na usambazaji bila kupitishwa sheria yoyote bungeni?

PPP ilipoanzishwa mapema mwaka huu chini ya Kafulila, Mwenda, Bi Tatu, na Mafuru hawa ndo watu wa kuwawezesha watanzania kununua umeme wa bei nafuu, au ndo wapo kuhakikisha ukoloni mamboleo unajikita rasmi barani Afrika?
Ppp haijazuia wawekezaji wa ndani
 
Kamishina wa PPP ni Kafulila naungana na. Mbunge Muhongo akiwa waziri aliyemuita Kafulila tumbili
 
Ppp haijazuia wawekezaji wa ndani
Lakini mabadiliko ya sheria inohusiana na wawekezaji imefanywa kwa kuweka mazingira mazuri zaidi kwa wawekezaji wa nje kupata direct access kwa miradi iliyopo.

Kwa mfano ukisoma kwa makini maono ya PPP ni kwamba benki ya Dunia imepewa access ya kuona regulations na miongozo au Guidelines zinooongoza wawezekaji wa nje zaidi kuliko wa ndani.

Pia mfano mwingine ni kurekebisha sheria (PPP Act Amendment) ambapo makampuni ya nje yatapeleka madai yoyote ya kisheria kwenye mahakama za kimataifa, kupewa unafuu wa kulipa kodi, kupata access ya kupata myaji ambao upo kwenye mfuko uitwao Viability Gap Funding VGF, fedha ambazo kiufundi au techically zotoka moja kwa moja Benki ya Dunia.

Sasa wadhani Benki ya Dunia itaipatia kampuni ya Kitanzania fedha za VGF kama mtaji, wakati tuna benki ya maendeleo ya Afrika ambayo nimeona haizungumziwi kabisa katika uwekezaji unozungumziwa na PPP na ingeweza kutumia kama kiungo kwa wawekezaji wa kitanzania?

Hapo juu pia kuhusu kurekebisha sheria kunazipa hizi kampuni uwezo wa kuidai fedha nyingi serikali ya Tanzania endapo utawala mpya utajaribu kurekebisha sheria za uwekezaji huko mbele.

Hivyo ni kweli wawekezaji wa ndani hawajazuiwa lakini hawana nafasi ya kushindana na wawekezaji wa nje wenye vifua vinene vilojaa madola ya kuja kuwekeza kama mitaji.
 
Back
Top Bottom