Miradi ya Sekta ya Afya Iliyopata Fedha Jimbo la Igunga kwa Mwezi Februari, 2023

Miradi ya Sekta ya Afya Iliyopata Fedha Jimbo la Igunga kwa Mwezi Februari, 2023

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MIRADI YA SEKTA YA AFYA ILIYOPATA FEDHA JIMBO LA IGUNGA KWA MWEZI FEBRUARI 2023

1. Zahanati ya Mtunguru (Kata ya Mtunguru) - Tshs. 46,600,000/-

2. Zahanati ya Igogo (Kata ya Nanga) - Tshs. 27,600,000/-

3. Zahanati ya Mwamashimba (Kata ya Mwamashimba) - 29,600,000/-

4. Zahanati ya Itunduru (Kata ya Itunduru) - 44,850,000/-

5. Hospitali ya Wilaya Igunga (H/Mji Mdogo Igunga) - 100,000,000/-

6. Zahanati ya Isugilo (H/Mji Mdogo Igunga) - 27,850,000/-

7. Zahanati ya Bukoko (Kata ya Bukoko) - Tshs. 28,600,000/-

8. Zahanati ya Mwabakima (Kata ya Mbutu) - Tshs. 28,600,000/-

9. Zahanati ya Igurubi (Kata ya Igurubi) - Tshs. 38,600,000/-

10. Zahanati ya Mwayunge (H/Mji Mdogo Igunga) - Tshs. 10,000,000/-

11. Zahanati ya Itumba (Kata ya Itumba) - Tshs. 34,000,000/-

12. Zahanati ya Isakamaliwa (Kata ya Isakamaliwa) - Tshs. 26,600,000/-

13. Zahanati ya Mwanyagula (Kata ya Kining'inila) - Tshs. 25,100,000/-

14. Zahanati ya Mwanshoma (Kata ya Nguvumoja) - Tshs. 54,050,000/-

"Kazi na Maendeleo"

Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
19 Februari 2023

WhatsApp Image 2023-02-19 at 16.31.21.jpeg
 
Samahani Mkuu, hizo fedha ni za vifaa tiba au za kandarasi za miradi ya Ujenzi au Ukarabati?

Ahsante
 
Back
Top Bottom