popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,615
Wadau samahani na mniwie radhi kama ntakosea jambo.
Naomba wanaojua sheria na wenye uzoefu katika hili kwa kulipitia wanisaidie.
Hivi unaweza kumpa mirathi mtoto ambae ulizaa kabla haujaoa?
Namaanisha yule ambae mkeo alikukuta nae, sheria inasemaje juu ya hili.
Naomba wanaojua sheria na wenye uzoefu katika hili kwa kulipitia wanisaidie.
Hivi unaweza kumpa mirathi mtoto ambae ulizaa kabla haujaoa?
Namaanisha yule ambae mkeo alikukuta nae, sheria inasemaje juu ya hili.