AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Nipo hapa kujibu masuala mbalimbali kuhusu miiraathi ya kiislaam.
Mambo ya kuzingatia kwenye miiraathi.
1. Undugu wa karibu(nasaba)
2. Ndoa
Niulize nitakujibu kwa uwezo na elim atakayonipa Allaah. Inshaa Allaah.
Kama kuna suala jingine la dini... Njoo kistaarabu kwa hoja nzito zenye akili... Sio kejeli. Ukibisha basi kaa na ubishi wako. Usiulize ili ubishe.
NA NDOA..
NA NIMEONA NIONGEZE NA NIJIBU NA MASUALA YA NDOA NA FAMILIA ZA KIISLAAM NA CHANGAMOTO ZAKE NA NAMNA UISLAAM UNAWAELEKEZA NAMNA YA KUISHI.
Allaah atuongoze.
Abuu Maryam
Mambo ya kuzingatia kwenye miiraathi.
1. Undugu wa karibu(nasaba)
2. Ndoa
Niulize nitakujibu kwa uwezo na elim atakayonipa Allaah. Inshaa Allaah.
Kama kuna suala jingine la dini... Njoo kistaarabu kwa hoja nzito zenye akili... Sio kejeli. Ukibisha basi kaa na ubishi wako. Usiulize ili ubishe.
NA NDOA..
NA NIMEONA NIONGEZE NA NIJIBU NA MASUALA YA NDOA NA FAMILIA ZA KIISLAAM NA CHANGAMOTO ZAKE NA NAMNA UISLAAM UNAWAELEKEZA NAMNA YA KUISHI.
Allaah atuongoze.
Abuu Maryam