Miriam Mauki: Mume wangu anajua kila 'Kitu' isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui

Miriam Mauki: Mume wangu anajua kila 'Kitu' isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Akizungumza East Africa Radio asubuhi hii kwa Mahaba niue yake yote kwa Mumewe anayemuita Mwanasaikolojia wake Mke wa Mwanasaikoloja Maarufu nchini Dk, Chris Mauki aitwae Miriam Mauki amesema kuwa Mumewe huyo anajua kila Kitu isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui.

Tafadhalini elewa hapo neno alilosema anajua kila 'Kitu' kisha utajua / mtajua alichokimaanisha hasa ni nini hapo sawa?
 
Sasa kama hajui kupika huoni kuwa amepungiwa na sifa ya kuwa mume bora? Siku ukiumwa na mko wawili nani atapika au mumewe atakakimbilia hotelini/mgahawani kununua chakula? Ina maana huyo mume wako hakupitia maisha ya geto ya kujipikia misosi au hakuwahi kujipilikisha akiwa mtoto kumsaidia mke wa utotoni kwenye mchezo wa kinyumbanyumba?
 
Sasa kama hajui kupika huoni kuwa amepungiwa na sifa ya kuwa mume bora? Siku ukiumwa na mko wawili nani atapika au mumewe atakakimbilia hotelini/mgahawani kununua chakula? Ina maana huyo mume wako hakupitia maisha ya geto ya kujipikia misosi au hakuwahi kujipilikisha akiwa mtoto kumsaidia mke wa utotoni kwenye mchezo wa kinyumbanyumba?
Nilipouanzisha huu Uzi nilitaka Watu wenye Akili ya haraka na Kunielewa na watakuja na huu Uchambuzi kama wako. Heko.
 
Akizungumza East Africa Radio asubuhi hii kwa Mahaba niue yake yote kwa Mumewe anayemuita Mwanasaikolojia wake Mke wa Mwanasaikoloja Maarufu nchini Dk, Chris Mauki aitwae Miriam Mauki amesema kuwa Mumewe huyo anajua kila Kitu isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui.

Tafadhalini elewa hapo neno alilosema anajua kila 'Kitu' kisha utajua / mtajua alichokimaanisha hasa ni nini hapo sawa?
Waswqhili wanakufa wanabaki masela.

Anajua kila kitu na wakati huohuo unasema hauji kupika.

Hiyo kutojua kupika inakujaje?
 
Ni kweli kuna mijibaba haijui kupika, mi mwenyewe binti yangu mdogo wa chekechea alinicheka sana baada ya kumpikia wali uliorojeka na kuniambia baba umepika madabu. Mama yake ni mtaalam wa mapishi hakuwepo ikabidi niingie jikoni. Kwa sasa najifunza kupika vyakula vyote vinavyopikwa katika maeneo yangu ili kama waifu hayupo niweze kupika chakula bora mwanangu asinicheke tena. Simu zipo, bwana sunday temba wa kipindi cha mapishi ITV yupo japo ye si mpishi, chigo wa TBC1 asubuhi kwenye kipindi cha jambo yupo anapika laivu studioni wanaume wasiojua kupika tuangalie wanaume wenzetu na wanawake wanavyopika ili tujue kupika
 
Akizungumza East Africa Radio asubuhi hii kwa Mahaba niue yake yote kwa Mumewe anayemuita Mwanasaikolojia wake Mke wa Mwanasaikoloja Maarufu nchini Dk, Chris Mauki aitwae Miriam Mauki amesema kuwa Mumewe huyo anajua kila Kitu isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui.

Tafadhalini elewa hapo neno alilosema anajua kila 'Kitu' kisha utajua / mtajua alichokimaanisha hasa ni nini hapo sawa?
hapo kwenye upishi kumbe msela ni hewa aisee, kwa mariamu wadau wanajipikia tu na kupakua muda c mrefu tutaona y TINA shusho
 
Back
Top Bottom