TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Uzi ukiwa public maana yake nini? Kama ulikuwa hutaki watu wausome ungebaki nao geto kwako au ungewatumia wapuuzi wenzio pm huko. Ukiweka public hata sisimizi anasoma na kuona upuuzi wako. Ni sawa na kutembea uchi barabarani huwezi kumzuia mtu kukuangalia sawa?Nilipoanzisha huu Uzi kuna mahala nilikuita au kukuomba uje Uusome?