Miriam Mauki: Mume wangu anajua kila 'Kitu' isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui

Nilipoanzisha huu Uzi kuna mahala nilikuita au kukuomba uje Uusome?
Uzi ukiwa public maana yake nini? Kama ulikuwa hutaki watu wausome ungebaki nao geto kwako au ungewatumia wapuuzi wenzio pm huko. Ukiweka public hata sisimizi anasoma na kuona upuuzi wako. Ni sawa na kutembea uchi barabarani huwezi kumzuia mtu kukuangalia sawa?
 
pia kakosa sifa ya 'kujua kila kitu' ikiwa hajui kupika.
 
Rubbish and Nonsensical.
 
Kuchakatwa anajua
 
Tafuta kazi ya kufanya.
Huo muda wa kufuatilia vipindi vya wanawake unaupata wapi. Siku nyingine utumie huo muda kufanya kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…