Uzi ukiwa public maana yake nini? Kama ulikuwa hutaki watu wausome ungebaki nao geto kwako au ungewatumia wapuuzi wenzio pm huko. Ukiweka public hata sisimizi anasoma na kuona upuuzi wako. Ni sawa na kutembea uchi barabarani huwezi kumzuia mtu kukuangalia sawa?Nilipoanzisha huu Uzi kuna mahala nilikuita au kukuomba uje Uusome?
hajui kupika??! Kupika msosi upi, huu tunaoula na kushiba au ni ule msosi mwingine, majamboz? Kwa hiyo masela mnaenda kupika, kupakua na kumuonjea mpiko?hapo kwenye upishi kumbe msela ni hewa aisee, kwa mariamu wadau wanajipikia tu na kupakua muda c mrefu tutaona y TINA shusho
Nilipoanzisha huu Uzi nilikuwa nataka Watu wenye Akili Kubwa kama Wewe mnaowaza nje ya Boksi mje Kuchambua hivi. Heko.hapo kwenye upishi kumbe msela ni hewa aisee, kwa mariamu wadau wanajipikia tu na kupakua muda c mrefu tutaona y TINA shusho
Vijana wagumu sana kuelewa nyie 🤭Waswqhili wanakufa wanabaki masela.
Anajua kila kitu na wakati huohuo unasema hauji kupika.
Hiyo kutojua kupika inakujaje?
pia kakosa sifa ya 'kujua kila kitu' ikiwa hajui kupika.Sasa kama hajui kupika huoni kuwa amepungiwa na sifa ya kuwa mume bora? Siku ukiumwa na mko wawili nani atapika au mumewe atakakimbilia hotelini/mgahawani kununua chakula? Ina maana huyo mume wako hakupitia maisha ya geto ya kujipikia misosi au hakuwahi kujipilikisha akiwa mtoto kumsaidia mke wa utotoni kwenye mchezo wa kinyumbanyumba?
Kwakuwa umeuanzisha Wewe.uzi huu ufutwe
Rubbish and Nonsensical.Uzi ukiwa public maana yake nini? Kama ulikuwa hutaki watu wausome ungebaki nao geto kwako au ungewatumia wapuuzi wenzio pm huko. Ukiweka public hata sisimizi anasoma na kuona upuuzi wako. Ni sawa na kutembea uchi barabarani huwezi kumzuia mtu kukuangalia sawa?
Kwahiyo akichapiwa na Wanaume wanaojua / tunaojua Kupika atalalamika?Sasa anajuaje kila kitu?.
chakula cha wakubwa bro ndo maana watu wanashindwa kumwelewa Gentahajui kupika??! Kupika msosi upi, huu tunaoula na kushiba au ni ule msosi mwingine, majamboz? Kwa hiyo masela mnaenda kupika, kupakua na kumuonjea mpiko?
Stercus et insensatus hahahaaRubbish and Nonsensical.
Kumuelewa GENTAMYCINE ni mpaka uwe na IQ Kubwa kama hivi Wewe Mkuu.chakula cha wakubwa bro ndo maana watu wanashindwa kumwelewa Genta
Takataka.Stercus et insensatus hahahaa
Kuchakatwa anajuaAkizungumza East Africa Radio asubuhi hii kwa Mahaba niue yake yote kwa Mumewe anayemuita Mwanasaikolojia wake Mke wa Mwanasaikoloja Maarufu nchini Dk, Chris Mauki aitwae Miriam Mauki amesema kuwa Mumewe huyo anajua kila Kitu isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui.
Tafadhalini elewa hapo neno alilosema anajua kila 'Kitu' kisha utajua / mtajua alichokimaanisha hasa ni nini hapo sawa?
Tafuta kazi ya kufanya.Akizungumza East Africa Radio asubuhi hii kwa Mahaba niue yake yote kwa Mumewe anayemuita Mwanasaikolojia wake Mke wa Mwanasaikoloja Maarufu nchini Dk, Chris Mauki aitwae Miriam Mauki amesema kuwa Mumewe huyo anajua kila Kitu isipokuwa Kupika tu ndiyo hajui.
Tafadhalini elewa hapo neno alilosema anajua kila 'Kitu' kisha utajua / mtajua alichokimaanisha hasa ni nini hapo sawa?