Vipi kuhusu wakwaya?Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Vipi kuhusu wakwaya?
Yaani ktk watu wenye masifa usiwe unasahau hao watu wana majigambo na madharau sijapata kuona. Ni maoni tu wadau wasijesema naleta umsogaWatakuwa Ni Wajukuu Zao. Niliwasahau Kidogo Mkuu Ila Akhsante Kwa Kunikumbusha.
Kwa hiyo ulitaka aendelee kufuria? watu bhana!!"Kasahau alivyofulia wakati ule akishinda ndani kidogo ajinyonge
Binadam hutupaswi kuwa na nyodo,,asijikwezeKwa hiyo ulitaka aendelee kufuria? watu bhana!!"
yaani nimeangalia cha Shilole anajielewa na anajibu anachoulizwa, Miriam anaongea kama yupo na shost wakeMi nimemuona hajui kujieleza...Moja ya episode ya mkasi ambayo sijaipenda..hii ni mojawapo
Salama Jabil alikutana na "nyaturi "Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Yani ye alikuwa anatiririka tu..Anaongea hadi kupitilizayaani nimeangalia cha Shilole anajielewa na anajibu anachoulizwa, Miriam anaongea kama yupo na shost wake
Jiheshimu majigambo ni tabia za watu wapo wasukuma wana viburi majigambo mfano mtemi chenge hao wajaluo ukiambiwa uwataje wenye majigambo utaishia na uyo odemba tuSijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Hatujasema hafanyi vizuri,tunazungumzia jinsi alivyokuwa anaongea,alikitawala sana kipindi kiasi ikawa kama hakuna muongozaji,maana hakuwa akiwapa nafasi akina salama wamuhoji,yule ni celeblity wengi wanataka kujifunza kutoka kwake,kwahiyo akiwa sehemu kama ile anatakiwa afuate protokali ili watazamaji wajifunze,asa wewe kuwa mkweli cha maana ulichojifunza pale ni nini?
Ni sifa tu ndio zilimjaa...
Tutake radhi.Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Wajdluo kweli wana majigambo na dharau, nimeolewa na wajaluo nawajjua hata hajakosea. Halafu akiwa na kauwezo kidogo utakoma na masifa yake.Jiheshimu majigambo ni tabia za watu wapo wasukuma wana viburi majigambo mfano mtemi chenge hao wajaluo ukiambiwa uwataje wenye majigambo utaishia na uyo odemba tu
Kama alikitawala kipindi sio kosa lake, Ni kosa la Salama, nishawahi kuona Spolah show akimwambia guest kuwa yy ndo host WA kipindi so apunguze munkari!Hatujasema hafanyi vizuri,tunazungumzia jinsi alivyokuwa anaongea,alikitawala sana kipindi kiasi ikawa kama hakuna muongozaji,maana hakuwa akiwapa nafasi akina salama wamuhoji,yule ni celeblity wengi wanataka kujifunza kutoka kwake,kwahiyo akiwa sehemu kama ile anatakiwa afuate protokali ili watazamaji wajifunze,asa wewe kuwa mkweli cha maana ulichojifunza pale ni nini?
Ni sifa tu ndio zilimjaa...
Kwanini unamwita mtu mjinga,akikutusi nae utakasirika?muwe na adabuNikupe pole wewe hapo ambaye unapenda usikilize porojo za kina Nisher na wajinga wenzie...rudia kuangalia upya utakutana na mafunzo haya
1) Kujiamini na hutakiwi kutetereka kwasababu ya umaarufu wa mtu
2) Kujituma kwa bidii sana
3) Kuwa na malengo makubwa ambayo yatafanya jina lako lisifutike, ni nani ambaye leo ukitaja jina Miriam Odemba halijui?
4) Elimu na utashi as lolote unalolifanya hakikisha una elimu na uelewa wa kutosha kuhusu hilo swala
Kama hayo hukuyaona badala yake umeishia kuona anajigamba tu basi pole saaaana tena sana