Miriam Odemba na majigambo kipindi cha Mkasi

Miriam Odemba na majigambo kipindi cha Mkasi

Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Vipi kuhusu wakwaya?
 
Back to the topic,
kipindi kilikua hovyo sana baada ya interviewee kudominate mjadala. Salama nae akaona isiwe tabu akamwacha miriam atambae anavyotaka. Haikupendeza na salama kama uko humu jf (najua umo) tafadhali siku nyingine usiwe unamwacha interviwee atawale.
 
Yan alikua anatiririka tu asubir kuulizwa japo nmependa confidence yake
 
Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Salama Jabil alikutana na "nyaturi "
 
yaani nimeangalia cha Shilole anajielewa na anajibu anachoulizwa, Miriam anaongea kama yupo na shost wake
Yani ye alikuwa anatiririka tu..Anaongea hadi kupitiliza
 
it seems alikua anaitafuta sana hiyo nafasi ya kuhojiwa atoe ya moyoni, mirian ni mmoja wa mastaa ambao hawajabahatika kufanyiwa mahojiaono na vyombo vya habari hapa nchini, so alikua anatoa ya moyoni, kuhusu mashauzi muhimu
 
Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Jiheshimu majigambo ni tabia za watu wapo wasukuma wana viburi majigambo mfano mtemi chenge hao wajaluo ukiambiwa uwataje wenye majigambo utaishia na uyo odemba tu
 
Hatujasema hafanyi vizuri,tunazungumzia jinsi alivyokuwa anaongea,alikitawala sana kipindi kiasi ikawa kama hakuna muongozaji,maana hakuwa akiwapa nafasi akina salama wamuhoji,yule ni celeblity wengi wanataka kujifunza kutoka kwake,kwahiyo akiwa sehemu kama ile anatakiwa afuate protokali ili watazamaji wajifunze,asa wewe kuwa mkweli cha maana ulichojifunza pale ni nini?
Ni sifa tu ndio zilimjaa...


Unaangalia kipindi cha mkasi ujifunze kwa macelebrity? Achia sofa nenda shule, hakuna cha kujifunza kwa kina Odemba, labda kama unatafuta babu wa kizungu
 
Sijawahi Kuona Tofauti Ya MHAYA Na MJALUO Hasa Ktk Suala Zima La " MASHAUZI " Labda Mnaowajua Zaidi Leo Mnipe Tofauti KUU Ya Haya MAKABILA Mawili Ila Binafsi Nathubutu Kusema WAHAYA NA WAJALUO Ni Baba Na Mama Mmoja Huku Mtoto Wao Akiwa Ni Wenye Kabila La WAJITA.
Tutake radhi.
 
Jiheshimu majigambo ni tabia za watu wapo wasukuma wana viburi majigambo mfano mtemi chenge hao wajaluo ukiambiwa uwataje wenye majigambo utaishia na uyo odemba tu
Wajdluo kweli wana majigambo na dharau, nimeolewa na wajaluo nawajjua hata hajakosea. Halafu akiwa na kauwezo kidogo utakoma na masifa yake.
 
Hatujasema hafanyi vizuri,tunazungumzia jinsi alivyokuwa anaongea,alikitawala sana kipindi kiasi ikawa kama hakuna muongozaji,maana hakuwa akiwapa nafasi akina salama wamuhoji,yule ni celeblity wengi wanataka kujifunza kutoka kwake,kwahiyo akiwa sehemu kama ile anatakiwa afuate protokali ili watazamaji wajifunze,asa wewe kuwa mkweli cha maana ulichojifunza pale ni nini?
Ni sifa tu ndio zilimjaa...
Kama alikitawala kipindi sio kosa lake, Ni kosa la Salama, nishawahi kuona Spolah show akimwambia guest kuwa yy ndo host WA kipindi so apunguze munkari!
 
too much is harmful
anaongea mpaka anaboa, ingawa FACT ila alitakiwa ajibu kwa ufupi sio stori ndeeefu kama tamthiliya ya kifilipino
 
Kwa
Nikupe pole wewe hapo ambaye unapenda usikilize porojo za kina Nisher na wajinga wenzie...rudia kuangalia upya utakutana na mafunzo haya
1) Kujiamini na hutakiwi kutetereka kwasababu ya umaarufu wa mtu
2) Kujituma kwa bidii sana
3) Kuwa na malengo makubwa ambayo yatafanya jina lako lisifutike, ni nani ambaye leo ukitaja jina Miriam Odemba halijui?
4) Elimu na utashi as lolote unalolifanya hakikisha una elimu na uelewa wa kutosha kuhusu hilo swala
Kama hayo hukuyaona badala yake umeishia kuona anajigamba tu basi pole saaaana tena sana
Kwanini unamwita mtu mjinga,akikutusi nae utakasirika?muwe na adabu
 
Back
Top Bottom