Misaada GPA inaweza kadiriwa

Misaada GPA inaweza kadiriwa

2.6 kamilii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Najua hutaamini mzee ila ndio ukweriiii hata ukiwa na 2.6999 ngoma inasimamaa 2.6
 
2.6 kamilii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Najua hutaamini mzee ila ndio ukweriiii hata ukiwa na 2.6999 ngoma inasimamaa 2.6
Du masters kwaheri
 
Mathematically incorrect

Mwenye 4.9999 uki kadiria atakua na 5 which is statistically incorrect, hajapata A zote throughput undergraduate career

Na principle nikua approximation inafanyikaga generally so thus why hua Hamna
 
Hio ni 2.7 waki approximate
Hakuna kitu kama hicho

Kwenye roundoff kuna rules nyingi kama mtakumbuka

Ila kuna kitu hatukukisoma sana au hatukukisoma kabisa kwa level za chini za hesabu kinaitwa truncation.

Sheria hii kwenye kukadiria viwango vya desimali inasema uhesabu viwango vya desimali vinavyo takiwa kisha vinavyobaki uvikate, hakuna ule mchezo wa eti imezidi 5 unajumlishia 1 kwa nyuma, hakuna. Hesabu viwango vya desimali, zinazobaki kata.

Kwakua GPA ni kiwango kimoja cha desimali,
Huyo kijana ana 2.6, akitaka kwenda Masters lazima afanye postgraduate.
 
глупый 😀😀😀😀😀😀😀😀

Naona umeamua kumtukana🤣🤣

IMG_20220930_161702.jpg
 
Back
Top Bottom