Mzee baba wengine tuna 2.3 tumetuliza vilanga.Niki calculate GPA yangu napata 2.6793.
Je, cheti kitakuja na GPA ya 2.6 au 2.7? Na vipi kuhusu class?
Ni GPA ya university.
Hio ni 2.7 waki approximateNiki calculate GPA yangu napata 2.6793.
Je, cheti kitakuja na GPA ya 2.6 au 2.7? Na vipi kuhusu class?
Ni GPA ya university.
Hamna ujinga kama huo aiseeHio ni 2.7 waki approximate
Hakuna kitu kama hichoHio ni 2.7 waki approximate
Masters waweza soma ila anzia na post graduate diploma uweke mambo sawaDu masters kwaheri
Hakuna kukadiria GPA mkuu, hiyo ni 2.6. Hizo za kukadiria wazitoe wapi kama wewe umeshindwa kuzipata.Hio ni 2.7 waki approximate