Wolle Melkas Fernando
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 253
- 360
Dunia imepita kwenye Mapinduzi mbalimbali ya viwanda karibia levels 4.
Ila Unajua Afrika has never succeeded neither of those industrial revolution levels.
Na ukichunguza na kusoma tafiti mbalimbali utagundua misaada na Mikopo ndio imetulemaza na kutuweka hapa tulipo leo.
Nadhani ufike wakati Afrika iachane na misaada na mikopo. Haki mfano mimi nikiwa mkuu wa nchi hii, sera yangu itakuwa ni kukataa na kuachana kabisa na misaada na mikopo ya aina yoyote ile kutoka nje.
Nitahimiza watu wafanye kazi kwa ubunifu, wagunduzi wa dawa nitawawezesha, wanaogundua teknolojia pia watawezeshea, hapo watu watafanya kazi kama punda, hata magari nitapiga marufuku ku-import, nitaruhusu vitu vichache sana ambavyo pengine vitasaidia kutengenezea mitambo tu.
Nitaacha viumane ili akili itukae sawa na hapo watumishi wa Umma watatakiwa kufanya kazi kwa Uzalendo yaani wakubali kufanya kazi kwa mishahara isiyo mikubwa ngazi zote hadi Wabunge, hapo ubunifu lazima uje.
Kama umesomea masuala ya IT...nawapeni pesa kuwawezesha kisha nawapa muda tengenezeni computerized programs, sasa mshindwe muone.
Wote wanaojiita wasomi nitawakusanya na kuwapa assignment kwa maendeleo ya Taifa Sasa mshindwe muone manina cha moto mtakiona.
Kama umesomea Agriculture ni lazima uwe na mashamba na uvune haswa, sasa uwe na Shamba ekari Moja halafu uvune gunia mbili hapo lazima chamoto ukione.
Kwa kiasi kikubwa nchi kama hizi zinahitaji aina fulani ya udikteta ili zisonge mbele yaani UDIKTETA wenye mantiki.
Ila Unajua Afrika has never succeeded neither of those industrial revolution levels.
Na ukichunguza na kusoma tafiti mbalimbali utagundua misaada na Mikopo ndio imetulemaza na kutuweka hapa tulipo leo.
Nadhani ufike wakati Afrika iachane na misaada na mikopo. Haki mfano mimi nikiwa mkuu wa nchi hii, sera yangu itakuwa ni kukataa na kuachana kabisa na misaada na mikopo ya aina yoyote ile kutoka nje.
Nitahimiza watu wafanye kazi kwa ubunifu, wagunduzi wa dawa nitawawezesha, wanaogundua teknolojia pia watawezeshea, hapo watu watafanya kazi kama punda, hata magari nitapiga marufuku ku-import, nitaruhusu vitu vichache sana ambavyo pengine vitasaidia kutengenezea mitambo tu.
Nitaacha viumane ili akili itukae sawa na hapo watumishi wa Umma watatakiwa kufanya kazi kwa Uzalendo yaani wakubali kufanya kazi kwa mishahara isiyo mikubwa ngazi zote hadi Wabunge, hapo ubunifu lazima uje.
Kama umesomea masuala ya IT...nawapeni pesa kuwawezesha kisha nawapa muda tengenezeni computerized programs, sasa mshindwe muone.
Wote wanaojiita wasomi nitawakusanya na kuwapa assignment kwa maendeleo ya Taifa Sasa mshindwe muone manina cha moto mtakiona.
Kama umesomea Agriculture ni lazima uwe na mashamba na uvune haswa, sasa uwe na Shamba ekari Moja halafu uvune gunia mbili hapo lazima chamoto ukione.
Kwa kiasi kikubwa nchi kama hizi zinahitaji aina fulani ya udikteta ili zisonge mbele yaani UDIKTETA wenye mantiki.