Misaada na Mikopo imeidumaza Afrika

Misaada na Mikopo imeidumaza Afrika

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2016
Posts
253
Reaction score
360
Dunia imepita kwenye Mapinduzi mbalimbali ya viwanda karibia levels 4.

Ila Unajua Afrika has never succeeded neither of those industrial revolution levels.

Na ukichunguza na kusoma tafiti mbalimbali utagundua misaada na Mikopo ndio imetulemaza na kutuweka hapa tulipo leo.

Nadhani ufike wakati Afrika iachane na misaada na mikopo. Haki mfano mimi nikiwa mkuu wa nchi hii, sera yangu itakuwa ni kukataa na kuachana kabisa na misaada na mikopo ya aina yoyote ile kutoka nje.

Nitahimiza watu wafanye kazi kwa ubunifu, wagunduzi wa dawa nitawawezesha, wanaogundua teknolojia pia watawezeshea, hapo watu watafanya kazi kama punda, hata magari nitapiga marufuku ku-import, nitaruhusu vitu vichache sana ambavyo pengine vitasaidia kutengenezea mitambo tu.

Nitaacha viumane ili akili itukae sawa na hapo watumishi wa Umma watatakiwa kufanya kazi kwa Uzalendo yaani wakubali kufanya kazi kwa mishahara isiyo mikubwa ngazi zote hadi Wabunge, hapo ubunifu lazima uje.

Kama umesomea masuala ya IT...nawapeni pesa kuwawezesha kisha nawapa muda tengenezeni computerized programs, sasa mshindwe muone.

Wote wanaojiita wasomi nitawakusanya na kuwapa assignment kwa maendeleo ya Taifa Sasa mshindwe muone manina cha moto mtakiona.

Kama umesomea Agriculture ni lazima uwe na mashamba na uvune haswa, sasa uwe na Shamba ekari Moja halafu uvune gunia mbili hapo lazima chamoto ukione.

Kwa kiasi kikubwa nchi kama hizi zinahitaji aina fulani ya udikteta ili zisonge mbele yaani UDIKTETA wenye mantiki.
 
Wazungu wajanja sana wakiona Unataka kujikwamua wanakupa msaada ili akili yako isifanye kazi uendelee kuwa tegemezi.

Tulipojikwamua na corona kwa nyungu na malimao haraka sana wakatuletea msaada wa dozi za chanjo milioni 1.
 
Izo sera aliziweza Hitler tu yaan aliforce ubunifu kwa lazima na akafaulu mengi sana ktk technologia, lakin kwa Africa rais akiwa na sera izo anauawa fasta sana..
 
Africa inamalizwa na haya mambo( tawala mbovu, ubinafsi, ufisadi, migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na taasisi mbovu ndani ya nchi husika)
 
Mama Samia anataka tujitahidi kujijnga kwa hela zetu wenyewe ila watu hawataki
 
Misaada inalemaza sana, ukiongezea na utawala mbovu ndo kabisa. Viongozi wanabaki tu kutapanya fedha bila mpangilio. Mwishowe tunaishia kulipa madeni ambayo hayaishi. Sio siri matumizi bora ya fedha na raslimali kwa nchi zetu hizi bado sana. Kila mtu anawaza kupiga tu. Maendeleo yatatoka wapi kwa hali hii, zaidi ya kubaki kuyaona kwenye nchi zinazojitambua.
 
Tunahitaji sana mtu wa design hii ili baadhi ya watu akili zao zikae vizuri, ni aibu sana kuskia kikundi fllan wanalilia misaada, yaaani ni basi tu spo kwenye nafasi ya uongozi kuna watu wangehama hii nchi na wasirudi tena
 
Mama Samia anataka tujitahidi kujijnga kwa hela zetu wenyewe ila watu hawataki

izi siasa za demokrasia ndo tatizo kubwa, tunahitaji mtu mmoja atakaehimiza kitu kwenye mstari
 
Africa inamalizwa na haya mambo( tawala mbovu, ubinafsi, ufisadi, migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na taasisi mbovu ndani ya nchi husika)

siasa za chama chenu ndo chanzo kikubwa cha matatizo hapa nchini! na bado yaani nsije kua kshika nafasi kubwa hii nchi, yaani kama hauongelei maswala la kazi na uvummbuzi utamfuata ben saa nane alipo
 
Izo sera aliziweza Hitler tu yaan aliforce ubunifu kwa lazima na akafaulu mengi sana ktk technologia, lakin kwa Africa rais akiwa na sera izo anauawa fasta sana..

xijinpin ameweza sana
 
Tatizo ni tawala mbovu na makutumizi makubwa ya serikali za Africa

na kelele zenu za siasa mda usio wa kampeni, yaani badala ya kuhimiza kazi mnahimiza siasa, yaani nisishike tu utawala
 
Wazungu wajanja sana wakiona Unataka kujikwamua wanakupa msaada ili akili yako isifanye kazi uendelee kuwa tegemezi.

Tulipojikwamua na corona kwa nyungu na malimao haraka sana wakatuletea msaada wa dozi za chanjo milioni 1.

hahaha
 
Tatizo ni akili zetu wenyewe.Akili zetu ni ndogo ndo maana tunakuja na kauli kama hizo baada yakushindwa kutumia vizuri mikopo na misaada tunayopata.
 
tunahitaji sana mtu wa design hii ili baadhi ya watu akili zao zikae vizuri, ni aibu sana kuskia kikundi fllan wanalilia misaada, yaaani ni basi tu spo kwenye nafasi ya uongozi kuna watu wangehama hii nchi na wasirudi tena
Nyie ambao mmeongoza nchi toka uhuru ndio ambao mmeshindwa kutumia bongo zenu vizuri hadi leo tunaonekana tunashindwa kusimamia mikopo sawasawa.
 
Dunia imepita kwenye Mapinduzi mbalimbali ya viwanda karibia levels 4.

Ila Unajua Afrika has never succeeded neither of those industrial revolution levels.

Na ukichunguza na kusoma tafiti mbalimbali utagundua misaada na Mikopo ndio imetulemaza na kutuweka hapa tulipo leo.

Nadhani ufike wakati Afrika iachane na misaada na mikopo. Haki mfano mimi nikiwa mkuu wa nchi hii, sera yangu itakuwa ni kukataa na kuachana kabisa na misaada na mikopo ya aina yoyote ile kutoka nje.

Nitahimiza watu wafanye kazi kwa ubunifu, wagunduzi wa dawa nitawawezesha, wanaogundua teknolojia pia watawezeshea, hapo watu watafanya kazi kama punda, hata magari nitapiga marufuku ku-import, nitaruhusu vitu vichache sana ambavyo pengine vitasaidia kutengenezea mitambo tu.

Nitaacha viumane ili akili itukae sawa na hapo watumishi wa Umma watatakiwa kufanya kazi kwa Uzalendo yaani wakubali kufanya kazi kwa mishahara isiyo mikubwa ngazi zote hadi Wabunge, hapo ubunifu lazima uje.

Kama umesomea masuala ya IT...nawapeni pesa kuwawezesha kisha nawapa muda tengenezeni computerized programs, sasa mshindwe muone.

Wote wanaojiita wasomi nitawakusanya na kuwapa assignment kwa maendeleo ya Taifa Sasa mshindwe muone manina cha moto mtakiona.

Kama umesomea Agriculture ni lazima uwe na mashamba na uvune haswa, sasa uwe na Shamba ekari Moja halafu uvune gunia mbili hapo lazima chamoto ukione.

Kwa kiasi kikubwa nchi kama hizi zinahitaji aina fulani ya udikteta ili zisonge mbele yaani UDIKTETA wenye mantiki.
Hapo umenena lakini tatizo kubwa si viongozi ni wananchi waliozoea vya bure. Ukimwambia toa Tozo tujenge nchi ni mayowe tupu, matokeo yake unakimbilia katika misaada

Tuwaelimishe wananchi kuwa ukitaka kula kivulini lazima uchumie juani. Kazi ipo na hapo ndio wazungu walipotiweza.

Juzi walisema hwatapeleka misaada Afghanistani.m Leo wamewaahidi mabilioni ya dola kwenda afghanista. Jiulize kwanini, si wanasema Talibani hawatazungumza nao.
 
Back
Top Bottom