#COVID19 Misaada na ufadhili wa kupambana na covid unalemaza uwezo wa watu kujisimamia.

#COVID19 Misaada na ufadhili wa kupambana na covid unalemaza uwezo wa watu kujisimamia.

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Je hii speed yakutangaza mapambano dhidi ya corona inaendana na uhalisia? Wizara makatazo yake hayapo specifiki kulingana na tatizo lilivyosambaa bali wapo general.

Unasema tusikusanyike bila kusema wapi, unasema watu wasiingie mahabusu bila vipimo bila kutuambia lini mmepeleka wataalam wa afya kila kituo Cha polisi, unasema ibada 30mnts lakini utuambii kama umekataza watu kwenda shule au umezuia watu kwenda sokoni nk.

Tunapotoa matangazo kwa shinikizo la misaada tujitahidi kutumia pia PHD zetu kufanya analysisi
 
Ukiugua hao unaowasema hutawaona hata mmoja, utakufa na lywako hivyo chukua hatua jinsi utakavyoweza kujilinda usingoje maelekezo- PUMBAFU ZAKO, Korona isikie kwa jirani zako ikikufikia kuipona unatumia pesa nyingi na penginepo usifanikiwe.
 
Umeeleza ukweli kabisa umaskini wa akili ni mbaya kuliko wa kipato yaani unajiuliza hivi hawa viongozi wetu hizi akili wanatumia niza aina gani?
Yaani matamko haya mbele wala nyuma unajiuliza utekelezaji wake ukoje maana sio halisi kabisa kulingana na mazingira yetu
 
Back
Top Bottom