Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Kuanzia pikipiki ya askari wa usalama barabarani hadi gari ya mwisho ya kwenye msafara, mwendokasi unaogofya. Mwendokasi wa msafara kama wa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wengineo huwa kati ya 120-180 km/saa.
Wakati wa msafara husika barabara husafishwa na kuwa nyeupe na isiyo na msongamano wowote. Halafu msafara huwa na mwendokasi nilioukisia. Kwanini mwendokasi huo?
Wakati wa msafara husika barabara husafishwa na kuwa nyeupe na isiyo na msongamano wowote. Halafu msafara huwa na mwendokasi nilioukisia. Kwanini mwendokasi huo?