Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Tujadili nini sasa? na umeshasema misafara yao huwa inakwenda spidi kali.
Umesahau, Ari zaidi, Nguvu zaidi, Kasi zaidi?
Mwendo kasi ni mwendo kasi, mjadala wa nini sasa? barabara zinaruhusu. Thubutu uende mwendo kasi kabla ya Kikwete kutandaza lami.
mtoa mada una uhakika gani kuwa spidi huwa kati ya 120-180
Kuanzia pikipiki ya askari wa usalama barabarani hadi gari ya mwisho ya kwenye msafara, mwendokasi unaogofya. Mwendokasi wa msafara kama wa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wengineo huwa kati ya 120-180 km/saa.
Wakati wa msafara husika barabara husafishwa na kuwa nyeupe na isiyo na msongamano wowote. Halafu msafara huwa na mwendokasi nilioukisia. Kwanini mwendokasi huo?
Issue kubwa ni "security reason"
Speed kali ni security feature ya kuwalinda viongozi. Kama kuna mtu amejificha kwa mbali na ana high-powered rifle ili amuue kiongozi ni rahisi kumlenga kama gari linatembea taratibu kulilo kama linakwenda kwa mwendo wa kasi. Hizi kasi ulizotoa ngoja tuwe na perspective nyingine:
120 km/saa = 2,000 mita/dakika = 33 mita/sekunde
180 km/saa = 3,000 mita/dakika = 50 mita/sekunde
Kwa hiyo kama gari linalopita perpendicular na muuaji lina pita kwa kasi ya mita 30 hadi 50 kwa sekunde, hata kama huyo muuaji ana shabaha ya aina gani itakuwa vigumu kuipiga target yake.
NI KWA AJILI YA USALAMA WA KIONGOZI.