Misamiati maarufu vyuo vikuu

Misamiati maarufu vyuo vikuu

Kombe la dunia/salio bonus- mwanamke mwenye makalio makubwa.
Palava-sehemu ya kufanyia discussion, kupiga umbea na kuchora watu wapitao corrido.
Container la mama salma kikwete.
Squaire root- matutorial assistant wanaong'ang'ania kufundisha na kujiita malecturer.
Copy and paste- kuchukua assignment ya mwenzio, kuinakili km ilivyo na kukusanya.
Nipoo- kustuana hostel pale inapogundulika warden yuko maeneo kutaka kukamata wanaojipikilisha rum.
 
Shato...basi.

S.P au shato pori....kutembea kwa miguu .

111-kula mara 3 kwa siku.

101-kunywa chai then unapiga dash mpaka night.

011-hunywi cha then unakula mchana na night.

001-kula mara moja tena night.

110-kunya chai na lunch unapiga but niit hauli, hii wanaipenda madada.

R.b- wali maharage.
 
exile- kuwaweka wezako nje ya room alafu wewe unapiga mzigo ndani na demu
dada zake ritz one- mabinti wenye ukimwi au tetesi but now tunawaita kina MWANAHASHA pale ndani ya UDOM
 
maskini Muhimbili hakunaga musemo!!!

kunyonywa-kupigwa msako mkali siku ya pepa ya clinical . kuponea jicho- kulia kwenye mtihani baada ya msako mkali ili wakuhurumie.
 
maskini Muhimbili hakunaga musemo!!!

drug of choice-demu ambaye amepitiwa na wengi. Mboga saba-sehemu ya kula nje ya chuo. Neonatal admission- kupiga mashine katoto ka sekondari. Chakula ya daktari,-nurse,muda wowote ukiwa na njaa unapiga.
 
Hahahaha!umenikumbusha mbal,room yetu watu walikuwa wanatuita wazee wa ki2 cha kudownload
Kudownload maji-Kuchemsha maji.
Mara ya kwanza niliachwa kwenye mataa niliposikia mtu anakunywa maji ya kudownload.
 
Tutorial-picha za ngono
Big brother-block f mabibo hstl.
Manzese-cafeteria 2
Mangwini-w'chuo wanaosoma kozi zisizo na maths.
Course work-makalio
Mdegree-sehemu ya kukaa kila m2 lazima ukae pale.
 
SP{Shato pori}-kutembea kwa miguu kutoka main cumpus ya udsm to mabibo.golgotha-chumba cha kufanyia mtihani.
 
madesa=material za kujisomea(udsm)ngedele wa chuo=wanafunzi wa kolegi ya coet ud
 
kuzima moto - kujaribu kusoma kila kitu just a few nights before exams
 
1.'Boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu kwa wanachuo/wanafunzi)
2. 'Kuuza chai'(Kupiga stori hasa za kuchekesha/au sizizo za kweli)
3.'Nyanga'(Supplementary exams)
4.Kutiwa nyavuni/kukamatwa(kufeli somo hivyo kutakiwa kulirudia)
5.Nondo(vitu visivyoruhusiwa mtihanini lakini vinavyoingizwa kimagendo)
6.Exile(kumpisha mwanachumba mwenzako 'atumie' chumba pekeyake kwa muda fulani
7.'Kupiga Dash'(kushinda bila kula kwasababu ya kuishiwa fedha za kujikimu)
8.Kipanga(mwanafunzi anayejiweza darasani kwa kuelewa haraka au kutosahau haraka)
9.Kilaza(mwanafunzi ambaye uelewa wake ni wa mashaka/haelewi mapema na hachelewi kusahau)
10.'Ungwini'(Masomo ambayo hayaambatani na mahesabu)
11.'Kudesa'(kuiga kwa mwanafunzi mwingine au kuandika kitu kama kilivyokutwa mahali fulani au kwa mtu fulani)
12.'Desa'/'Madesa'(Kitabu/Vitabu visivyo rasmi

Wana JF tuendelee...

Ni vyema ungeweka miaka ya hizo slang words ili iwe clear kwa graduates wote!
 
Kukata kiu.......................
Kuuza vocha...................
 
KD au VD pale mlimani ilikuwa Kiwango au Viwango duni wale wanaoingia chuo kwa pre-entry

1.FEMALE UNDERGRADUATES SHOLARSHIP PROGRAM(FUSP) aka VIDU au KIDU,mtu akikuita hv yani anamaanisha ni zaidi ya kilaza

2.Son of Peasant-SOP,yani umetoka kwenye familia iliyochoka aka mtoto wa mkulima.
 
MIGI-kuingia na desa ndani ya chumba cha mtihani
Kufunga mtaa-kuchafua hali ya hewa ukiwa chooni
Kukata kiu-



we lazima utakuwa umesoma mzumbe mbeya kampas--incognito insebia mid reses esterepe---father of the holly land
 
Back
Top Bottom