Misamiati maarufu vyuo vikuu

exile- kuwaweka wezako nje ya room alafu wewe unapiga mzigo ndani na demu
dada zake ritz one- mabinti wenye ukimwi au tetesi but now tunawaita kina MWANAHASHA pale ndani ya UDOM

Hao dada zake riz1(Wanaosomeshwa na Mama salma kikwete) wapo kibao wamemwagwa mwalimu nyerere,udom na udsm,gusa tu upate minyenyere.
 
Wa mama salima- wasichana walembo wanaojigonga kwa wavulana hvyo kuhsiwa wana ngoma! SKINERNER'S Box- kuziba kitanda kwa shuka(mfano wa pazia) hukuwa ukiwa na dem/men ndan! Kuwapokea first yea-wenye sapu wanawahi kabla ya chuo kufunguliwa
 
VD = Viwango Duni = Wasichana wanafika Chuoni mapema kabla chuo hakijafunguliwa (Pre-entry) ili kusoma na kufanya mitihani ya A-level kwa lengo la kupata credits za kujiunga na kozi za sayansi!
 
Piga lampard au pass ndefu,au code 001=shinda bila kula mchana
 
OK!! Hii nzuri sana inasaidia kujua generations za wana JF wengi....

Sie kwetu Ukumbi wa kumfanyia mitihani uliitwa MV Bukoba!
 
Kudownload maji-Kuchemsha maji.
Mara ya kwanza niliachwa kwenye mataa niliposikia mtu anakunywa maji ya kudownload.
Hii kiboko, nakumbuka nilikuwa na jagi la umeme siku nikikosa fifty ya kiroba napiga download
 

technical dash
 
mapanki....Fisrt year wa mwaka 2006/2007 udsm huo ndo wakati ule movie ya mfaransa kuhusu mapanki ilikua inaisumbua serikali
 
Kukata kiu-Kupiga kelele huku ukipondea kitu au watu-MU
 

Kwa walio soma Engineering UDSM enzi zile hasa ME-Mnakumbuka VISA kwa kila jtano na Ijumaa? Visa=Homework ya Michoro ya Engineering.
KCC =Mademu wa Mitaani
KUNJI=Mgomo
MZEE PUNCH=:hatari:
WAZEE WA MAKOTI=Engineering
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…