mapanki....Fisrt year wa mwaka 2006/2007 udsm huo ndo wakati ule movie ya mfaransa kuhusu mapanki ilikua inaisumbua serikali
teh teh teh,wadada wengi huwa wanapga code 011 ili wasishtukiwe kuwa hawana kitu.
1.'Boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu kwa wanachuo/wanafunzi)
2. 'Kuuza chai'(Kupiga stori hasa za kuchekesha/au sizizo za kweli)
3.'Nyanga'(Supplementary exams)
4.Kutiwa nyavuni/kukamatwa(kufeli somo hivyo kutakiwa kulirudia)
5.Nondo(vitu visivyoruhusiwa mtihanini lakini vinavyoingizwa kimagendo)
6.Exile(kumpisha mwanachumba mwenzako 'atumie' chumba pekeyake kwa muda fulani
7.'Kupiga Dash'(kushinda bila kula kwasababu ya kuishiwa fedha za kujikimu)
8.Kipanga(mwanafunzi anayejiweza darasani kwa kuelewa haraka au kutosahau haraka)
9.Kilaza(mwanafunzi ambaye uelewa wake ni wa mashaka/haelewi mapema na hachelewi kusahau)
10.'Ungwini'(Masomo ambayo hayaambatani na mahesabu)
Street game = demu wa uswazi, hii ni pale Cbe dom
au kupiga deshi
kukomunika-kula mkate na maji hasa ule wakati wa ukata
pia kontena jipya - wanafunzi wa mwaka wa kwanzaTBS-Kijiwe UD cha kuangalia Masaburi ya wadada.
Tsunami-Wanafunzi wa mwaka wa kwanza.
yep mapank! Mapank na bodi ya mikopo! Mapank wenye dv2 boy wamenyimwa boom,mapank waliishi maisha ya shida sana kipindi hicho. Akikatiza fst year tu utasikia Pank hilo
Na Tsunami pia..ahaaa kweli bwana mapanki.na badae likaja bambucha yote yakimaanisha first year.
OK!! Hii nzuri sana inasaidia kujua generations za wana JF wengi....
Sie kwetu Ukumbi wa kumfanyia mitihani uliitwa MV Bukoba!
Tutorial-picha za ngono
Big brother-block f mabibo hstl.
Manzese-cafeteria 2
Mangwini-w'chuo wanaosoma kozi zisizo na maths.
Course work-makalio
Mdegree-sehemu ya kukaa kila m2 lazima ukae pale.
1.'boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa wanachuo/wanafunzi)
2. 'kuuza chai'(kupiga stori hasa za kuchekesha/au sizizo za kweli)
3.'nyanga'(supplementary exams)
4.kutiwa nyavuni/kukamatwa(kufeli somo hivyo kutakiwa kulirudia)
5.nondo(vitu visivyoruhusiwa mtihanini lakini vinavyoingizwa kimagendo)
6.exile(kumpisha mwanachumba mwenzako 'atumie' chumba pekeyake kwa muda fulani
7.'kupiga dash'(kushinda bila kula kwasababu ya kuishiwa fedha za kujikimu)
8.kipanga(mwanafunzi anayejiweza darasani kwa kuelewa haraka au kutosahau haraka)
9.kilaza(mwanafunzi ambaye uelewa wake ni wa mashaka/haelewi mapema na hachelewi kusahau)
10.'ungwini'(masomo ambayo hayaambatani na mahesabu)
11.'kudesa'(kuiga kwa mwanafunzi mwingine au kuandika kitu kama kilivyokutwa mahali fulani au kwa mtu fulani)
12.'desa'/'madesa'(kitabu/vitabu visivyo rasmi
wana jf tuendelee...