Kwenye Red pananifanya nihisi kuwa hiyo kamusi imesimamiwa na Chacha, MwitaNimekutana nayo kwenye kamusi ya BAVIZA nikaona si vibaya tuambizane:
1. Chegari: Sehemu inayotumika kunyoa nywele wanaume (barber shop)
2.Tabaharia:Kubobea katika uelewa au utaalam wa jambo fulani
3.Kicheche:Mwanamke anayefanya biashara ya mama ntilie.
4.Kinyunguriko:Mwanaume anayetoka nje ya ndoa yake.
5.Mkuchuku:Mwanamke anayependa kupigwapigwa na mumewe.
Kuna maneno hapo yakitumika tangia zamani na wala si msamiati mpya.Nimekutana nayo kwenye kamusi ya BAVIZA nikaona si vibaya tuambizane:
1. Chegari: Sehemu inayotumika kunyoa nywele wanaume (barber shop)
2.Tabaharia:Kubobea katika uelewa au utaalam wa jambo fulani
3.Kicheche:Mwanamke anayefanya biashara ya mama ntilie.
4.Kinyunguriko:Mwanaume anayetoka nje ya ndoa yake.
5.Mkuchuku:Mwanamke anayependa kupigwapigwa na mumewe.