Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,169
Nimekutana nayo kwenye kamusi ya BAVIZA nikaona si vibaya tuambizane:
1. Chegari: Sehemu inayotumika kunyoa nywele wanaume (barber shop)
2.Tabaharia:Kubobea katika uelewa au utaalam wa jambo fulani
3.Kicheche:Mwanamke anayefanya biashara ya mama ntilie.
4.Kinyunguriko:Mwanaume anayetoka nje ya ndoa yake.
5.Mkuchuku:Mwanamke anayependa kupigwapigwa na mumewe.
1. Chegari: Sehemu inayotumika kunyoa nywele wanaume (barber shop)
2.Tabaharia:Kubobea katika uelewa au utaalam wa jambo fulani
3.Kicheche:Mwanamke anayefanya biashara ya mama ntilie.
4.Kinyunguriko:Mwanaume anayetoka nje ya ndoa yake.
5.Mkuchuku:Mwanamke anayependa kupigwapigwa na mumewe.