MISAMIATI YA UCHAMBUZI WA SOKA

MISAMIATI YA UCHAMBUZI WA SOKA

babacollins

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
901
Reaction score
212
Huwa najiuliza hii misamiati inayotumika katika uchambuzi hutumiwa na wachambuzi "kiufundi" na "kimbinu" au kama misemo ya msimu tu. Mfano neno "mikimbio" karibu kila mchambuzi alikua analitumia katika siku za hivi karibuni, kwa sasa wamepunguza sijui wachezaji hawana "mikimbio" tena. Kadhalika neno "huu ni mchezo wa kimkakati" kwa sasa limeachwa kutumika kama vile hakuna michezo hiyo ya " kimkakati". Neno mchezaji " kuku-offer" wachambuzi wengi kweli walikuwa wanalitumia kwa sasa sijui nini kimetokea kwa wachezaji "ku-offer". Yapo na mengine ambayo hayana ulazima wa kuyatumia lakini bado utasikia wachambuzi wengi wanayatumia kwa mfano neno "yes".
Mimi naamini ni kuiga au kuigilizia ndiko kunakoleta mambo kama haya.

Ni mimi mchezaji kiongozi.
 
Kuna tatizo gani yakitumika? Unajua shida ipo kwenye lugha tu. Kila mtu ana aina yake ya uwasilishaji wa jambo ili wanaomsikiliza waweze kuelewa anachokusudia kieleweke.

Usisahangae mkuu ni kawaida.
 
Huwa najiuliza hii misamiati inayotumika katika uchambuzi hutumiwa na wachambuzi "kiufundi" na "kimbinu" au kama misemo ya msimu tu. Mfano neno "mikimbio" karibu kila mchambuzi alikua analitumia katika siku za hivi karibuni, kwa sasa wamepunguza sijui wachezaji hawana "mikimbio" tena. Kadhalika neno "huu ni mchezo wa kimkakati" kwa sasa limeachwa kutumika kama vile hakuna michezo hiyo ya " kimkakati". Neno mchezaji " kuku-offer" wachambuzi wengi kweli walikuwa wanalitumia kwa sasa sijui nini kimetokea kwa wachezaji "ku-offer". Yapo na mengine ambayo hayana ulazima wa kuyatumia lakini bado utasikia wachambuzi wengi wanayatumia kwa mfano neno "yes".
Mimi naamini ni kuiga au kuigilizia ndiko kunakoleta mambo kama haya.

Ni mimi mchezaji kiongozi.
Technically and Tactically nalo wanakosea?
 
Kuna wakati wanasema mpira una MATOKEO matatu (kushinda, sare, kushindwa). Sasa utakuta hao hao wanaelezea kuwa timu fulani haikupata MATOKEO wakimaanisha kuwa timu hiyo ilishindwa)
Huwa najiuliza hii misamiati inayotumika katika uchambuzi hutumiwa na wachambuzi "kiufundi" na "kimbinu" au kama misemo ya msimu tu. Mfano neno "mikimbio" karibu kila mchambuzi alikua analitumia katika siku za hivi karibuni, kwa sasa wamepunguza sijui wachezaji hawana "mikimbio" tena. Kadhalika neno "huu ni mchezo wa kimkakati" kwa sasa limeachwa kutumika kama vile hakuna michezo hiyo ya " kimkakati". Neno mchezaji " kuku-offer" wachambuzi wengi kweli walikuwa wanalitumia kwa sasa sijui nini kimetokea kwa wachezaji "ku-offer". Yapo na mengine ambayo hayana ulazima wa kuyatumia lakini bado utasikia wachambuzi wengi wanayatumia kwa mfano neno "yes".
Mimi naamini ni kuiga au kuigilizia ndiko kunakoleta mambo kama haya.

Ni mimi mchezaji kiongozi.
 
Kuna wakati wanasema mpira una MATOKEO matatu (kushinda, sare, kushindwa). Sasa utakuta hao hao wanaelezea kuwa timu fulani haikupata MATOKEO wakimaanisha kuwa timu hiyo ilishindwa)

Wanaharibu lugha hili linanikera pia, wana nafasi kubwa ya kukuza na kuharibu lugha
 
Ukimkuta ambangile anakwambia half space sijui nini nini kile?
 
Wengi humu nimegundua nyie ndo Maamuma na siyo Wachambuzi.
 
Kuna hii Huwa wanaigiliziana, "ENEO LA MIDFIELD NDILO LITAKALOAMUA MCHEZO" [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huwa najiuliza hii misamiati inayotumika katika uchambuzi hutumiwa na wachambuzi "kiufundi" na "kimbinu" au kama misemo ya msimu tu. Mfano neno "mikimbio" karibu kila mchambuzi alikua analitumia katika siku za hivi karibuni, kwa sasa wamepunguza sijui wachezaji hawana "mikimbio" tena. Kadhalika neno "huu ni mchezo wa kimkakati" kwa sasa limeachwa kutumika kama vile hakuna michezo hiyo ya " kimkakati". Neno mchezaji " kuku-offer" wachambuzi wengi kweli walikuwa wanalitumia kwa sasa sijui nini kimetokea kwa wachezaji "ku-offer". Yapo na mengine ambayo hayana ulazima wa kuyatumia lakini bado utasikia wachambuzi wengi wanayatumia kwa mfano neno "yes".
Mimi naamini ni kuiga au kuigilizia ndiko kunakoleta mambo kama haya.

Ni mimi mchezaji kiongozi.
Umesahau chemistry,square pass,through pass ,dribbling nk
 
Back
Top Bottom