Misanya Dismas Bingi.

Nilitembelea tuu humu chit chat kuelimisha kuhusu alipo Misanya. Nawaombeni msianze kuwaulizia wengine.Tupunguze kudiscuss watu, karibuni kule jukwaa la siasa tukate issues.

Mimi narejea kule jukwa la siasa hivyo nawaombeni msiniulize chochote kuhusu Misanya au huyo rafiki yake, sitajibu kwa vile ndio nimeshaondoka chit chat.
 

mbona unatukimbia tena mkuu..kaa bana tujuzane
 
R.Mengi jamaa kauzibe sana......
 
inaelekea unawajua vizuri sana hao watu

Si sana...

Ila nina intelijensia kali...

Mke wa Misanya ni dada wa Kichagga... Anyway.. Ndiyo maana Pasco kaamua kuondoka... Ningeongea mengi ya nyuma ya pazia lakini nadhani haina haja...na nasema hivi baada ya kuusoma ushauri wa Pasco..
 

Dah........swafiiiiiiiiiiiii......tena saaaanaaaaaa!!!
 
😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…