Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Japo misemo hii ilikuwa hatari kusikika katika masikio ya watu lakini pia baadhi yao waliumia kuisikia na wengine hawakutaka hata misemo hii itamkwe.
1)xxxxxxxx =msemo huu ulianzia ktk nyumba fulani ya kiroho na mitandaoni ilifanywa mchezo au njia ya watu kukosoa japo ilikuja kuzimika ghafla
2)xxxxx xxxxx =huu msemo ulisababisha hata mtu kupelekwa polisi na alieanzisha mseo huu tuliona alipo sasa.
3)VY*M* VIM3K*ZA=huu nao dah,mgumu kuueleza ila ulikuwa ukieleza hali halisi ya sasa.
4)ITAPENDEZA ZAIDI=msemo ulopata maarufu baada ya dk L Shika kwenda ktk mnada wa nyumba za Lugumi na kuyakubali masharti ya mnada hali ya kuwa hana pesa kwa wakati huo
huu msemo ulimpa sana kiki
1)xxxxxxxx =msemo huu ulianzia ktk nyumba fulani ya kiroho na mitandaoni ilifanywa mchezo au njia ya watu kukosoa japo ilikuja kuzimika ghafla
2)xxxxx xxxxx =huu msemo ulisababisha hata mtu kupelekwa polisi na alieanzisha mseo huu tuliona alipo sasa.
3)VY*M* VIM3K*ZA=huu nao dah,mgumu kuueleza ila ulikuwa ukieleza hali halisi ya sasa.
4)ITAPENDEZA ZAIDI=msemo ulopata maarufu baada ya dk L Shika kwenda ktk mnada wa nyumba za Lugumi na kuyakubali masharti ya mnada hali ya kuwa hana pesa kwa wakati huo
huu msemo ulimpa sana kiki