Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Ni mambo ya kushangaza kuona watu na akili na busara zetu bado tunashikilia misemo isiyokuwa na maana bali kupotosha jamii, eti utasikia ikisemwa; "Mpe mchawi alee mwanao" au utasikia; "Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake".
Mchawi ni mtu mbaya sasa iweje umpe mwanao amlee?!--- je akimfundisha uchawi au akimlisha nyama za watu utamlaumu nani??-- kama neno mchawi ni tamathali kwanini tamathali hiyo inathibishwa na kitu kibaya?
Pia utasikia Mnyonge mnyongeni lakini apewe haki yake, sasa mtu kisha nyongwa (kawa marehemu) ni kwa vipi atapewa haki yake?--- au atapenyezewa akiwa kaburini?
Misemo mingine ilitungwa na Wahenga waliotoka kunywa Pombe na katika zama hizi za haifai kuendelea kutumika kwani inafanya jamii iamini ujinga kuwa ni busara na hekima.
Mchawi ni mtu mbaya sasa iweje umpe mwanao amlee?!--- je akimfundisha uchawi au akimlisha nyama za watu utamlaumu nani??-- kama neno mchawi ni tamathali kwanini tamathali hiyo inathibishwa na kitu kibaya?
Pia utasikia Mnyonge mnyongeni lakini apewe haki yake, sasa mtu kisha nyongwa (kawa marehemu) ni kwa vipi atapewa haki yake?--- au atapenyezewa akiwa kaburini?
Misemo mingine ilitungwa na Wahenga waliotoka kunywa Pombe na katika zama hizi za haifai kuendelea kutumika kwani inafanya jamii iamini ujinga kuwa ni busara na hekima.