Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo kwenye *with* haisimami *for* kweli apo!!?Fight with your condition!!!!
MmmmhApo kwenye *with* haisimami *for* kweli apo!!?
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kuna baadhi ya misemo humu JF imekuwa maarufu sana.
Tutazame michache hapa;
1. Ngoja waje
2. Ngoja niwahi siti
3. Be first to replay
4. Nimewahi siti ya Joseverest
Tupia na ya kwako tuone.
Nipo sana comrade, huu msimu wa maandalizi ya mashamba.Umepotea saana jamani, nini mbaya
Naona kijana anataka kuufanya muwa kuwa mkongojo kwenye safari ndefu....[emoji12] [emoji12]Fight with your condition!!!!
Jamaani comradeNipo sana comrade, huu msimu wa maandalizi ya mashamba.
HahahahaNaona kijana anataka kuufanya muwa kuwa mkongojo kwenye safari ndefu....[emoji12] [emoji12]
Amigo.....Jamaani comrade
Natamani nami kulima ujue
Mie nalima saana ujue comrade, kuwa serious basi!!! Halafu mwanaume ambae atanikataa sababu ya viganja aende tuuAmigo.....
Hiyo mikono ilisha zowea kulimiwa...[emoji2] [emoji2] Kuna mwenzio aliwahi kuachika kwasababu ya ugumu wa viganja
Kuna mwenzie aliwahi kujikuta anautafuna muwa baada ya kuutumia kama mkongojo kwenye safari ndefu...[emoji13] [emoji13]Hahahaha
Yaani wewe, umenitamanisha ujue
Basi sawa amigo....Mie nalima saana ujue comrade, kuwa serious basi!!! Halafu mwanaume ambae atanikataa sababu ya viganja aende tuu
Mie nimepata hamu ya mua ila kukaa nile ndo shidaKuna mwenzie aliwahi kujikuta anautafuna muwa baada ya kuutumia kama mkongojo kwenye safari ndefu...[emoji13] [emoji13]
HallelujahBasi sawa amigo....
Tutateta kule tunapo teta kwa lugha ya upako....
Upo sawa comrade, ila chunga vijana wasije wakakutafsiri (kula muwa) kidaslam....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nimepata hamu ya mua ila kukaa nile ndo shida