Misemo na majibu ya makondakta

 
1. Dereve kanyaga twende
2. dereva kuna mchawi nyuma mpukuchulie
 
KWELI WENYE MAGARI BINAFSI WANAKOSA UHONDO NA MAJIBU UA MAKONDA!
utasikia!
MABISHOO: dah! humu ndani joto!
konda; kapandeni friji!
mlokole; dereva toa taarab weka nyimbo za yesu!
konda; yesu bado hajatoa albamu!
sista duu; konda kuna siti humo?
konda; kwani wenzio wamekalia madumu! 🙂
 
Ukimkuta dereva anapiga reverse huku konda anamuelekeza..

Utasikia..
LETE NYUMA HUKU UNAKATA

Ukimkuta dereva anapiga reverse huku teja anamuelekeza..

Utasikia..
NJOO, NJOO, MPAKA USIKIE PUUUH...
Konda: Naomba nauli yangu
Abiria: Ikisimama nitakupa, au nilivyokaa hivi nitakupaje?!!! Hahahahaha!!!!
 
ha ha haaaaa!, naomba niendelee kucheka kwanza. Maana nimemisi kauli za makondakta, kitambo sana sijapanda, hii mikoa mingine tunayokuja yaani shida tupu; hakuna daladala aisee!. leteni kauli niendelee kucheka
 
Konda:nauli hapo dada
Abiria:utapewa nyuma
 
Nimecheka sana kuna vituo utasikia banana,magereza,tazara,buguruni ......kariakoo....akifika makaburini utasikia kondakta kwa nguvu ....MWISHO WA MARINGO...SHUSHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…