The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Huwa nacheka sana misemo na majibu ya makondakta:
- Shemeji twende ya kuwahi kaka kesha rudi.
- Konda kuna siti? "Siti zipo ila wenzio wamekalia"
- Mama mkwe kamata bomba
- Oyaaa, wakusoma tulieni sio skuli basi hii
- Hapo nyuma fungua nauli
- Konda una mia nikupe mia tano? "Sina we unayo"
*Tupia mengine...
- Shemeji twende ya kuwahi kaka kesha rudi.
- Konda kuna siti? "Siti zipo ila wenzio wamekalia"
- Mama mkwe kamata bomba
- Oyaaa, wakusoma tulieni sio skuli basi hii
- Hapo nyuma fungua nauli
- Konda una mia nikupe mia tano? "Sina we unayo"
*Tupia mengine...