Misemo ya Mitaani unayopata ukiwa HOT and SEXY!!

Misemo ya Mitaani unayopata ukiwa HOT and SEXY!!

Hivi wewe ndiye uliyekuwa umekaa pale kibarazani hapa first n left au? Kama ni wewe kweli ulitoka bomba ila sijui ni castle ndiyo ilinifanya nikuone hivyo au, ila nikikuona asubuhi mda umetoka kulala nitakupa sifa zako vizuri
 
i would rather laugh with the sinners than cry with saints!
 
You always make me smile Erotica
 
Last edited by a moderator:
Erotica kama unajiamini wewe mzuri sana njoo kesho ukitoka shule utanikuta maasai camp au njoo Tanzanite Lodge au kama vipi njoo ilboru lodge nikuone vizuri kama unalipa nichukue jiko mazima ila tafuta leseni ya gari kabisa kwani kuna Benz V8 Biturbo inakusubiri pia kuna apartment njiro nakupangia kwa mda wote utaokaa arusha,kazi ni kwako tu!!
 
Back
Top Bottom