Misemo ya Mpoki jamani!

Hata njiwa ana makinda lakini sio spika wa bunge, hauwezi kuingia facebook kwa kutumia nokia ya tochi, akili ni nywele lakini si za kwenye makwapa,
 
Mpoki amewekeza kweli kwenye misemo yake....

'Chafya ya mpishi haizimi moto!!!!!!'====nimemaliza nimeanza vizuri wikiend
 
Niliposoma post yako ya kwanza kwenye uzi huu...mara moja nikagundua kuna 'technical error' katika mtazamo wako juu ya vichekesho vya Tanzania (Orijinal Komedi na wenzake...). Ugunduzi wangu umethibitishwa na post yako niliyonukuu hapa.

Ebu fanyia kazi kuirekebisha hiyo 'technical error' yako vinginevyo...'tumor' itaanza kuota kichwani mwako muda si mrefu.
 

Uko sawa mkuu,wanachosha sana tu!wanachekesha zaidi watoto na usije shangaa hapa kwetu unaweza kuta mtu kakua mwili tu lakini brain imedumaa,hivyo si ajabu kukuta ni fan mkubwa wa ze comedy!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Design ya sehemu ya kutokea kwenye baadhi ya vivuko inasababisha abiria kutoka kwa kukimbia....!
 

kama weupe dili mbona ubuyu wapakwa rangi
 
hahahah...............tumbo linauma
kuna moja alisema ile tabia ya watu wa kigamboni wakishuka kutoka kwenye pantoni kukimbia baadaye watakuja kuwa wanariadha mahiri.................hafu hii ni kweli najiuliza sana kwanini uwa wanakimbia?

haaaaa haaaaaaaaaa!kumbe sio peke yang ninaejiulz hyo
 
Utasumbuka kutafuta mshikaki wenye mfupa...daaa cjui yanamtokaga wap!!!
 
We laugh because we have spirit of happiness,sasa mpaka wa meet vigezo vya roho yako ni ngumu.Hata hvyo wanatumia akili nyingi kukuzd ila uwezi kukubali.
 
Alipokuwa MC ktk ile KSS mbele ya JK, alisema: "Nzi akiacha ujinga kidogo, atatengeneza asali!" Mbavu ziliniuma usiku ule, mpaka wife akanionea huruma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…