Misemo ya Mpoki jamani!

jamaa misemo mingi anaipataga kwenye nyimbo za Hip Hip
mfano utazunguka sana kutafuta mshkaki wenye mfupa. hiyo line iko kwenye ngoma ya Songa- ushauri wa bure
 
Alipokuwa MC ktk ile KSS mbele ya JK, alisema: "Nzi akiacha ujinga kidogo, atatengeneza asali!" Mbavu ziliniuma usiku ule, mpaka wife akanionea huruma!
Sasa nini cha maana kilikuchekesha hapo? Kweli wanaume nchi hii hatuna
 
hahahah...............tumbo linauma
kuna moja alisema ile tabia ya watu wa kigamboni wakishuka kutoka kwenye pantoni kukimbia baadaye watakuja kuwa wanariadha mahiri.................hafu hii ni kweli najiuliza sana kwanini uwa wanakimbia?
Kile kilima cha kupandish kutoka ktk pa nton kinachosha so wanakimbia[emoji124][emoji125] kukimaliza mapema
 
Unapanda mlima lakini kamwe hauoti!!
 
Mkuu, naona umeandika gazeti kubwa sana, binafsi yangu ni mara chache naweza kucheka nikitazama comedy za kitanzania, ni sababu yangu binafsi na makuzi yangu inabidi mtu atumie nishati ya kutosha ili kunichekesha, sasa kuna watu wanacheka na hawajilazimishi kufanya hivyo, mpoki au comedian hawakuumbwa kuchekesha watu wote, sasa ninakushangaa unavyowashangaa watu wanaofurahia comedy ya mpoki! sasa kwa kuwa mpoki ajakidhi vigezo vyangu na vyako ili tucheke ndio tumwone kila mtu anayecheka kuwa anajichekesha? eti unashangaa wabongo wanavyocheka! are you seriously? basi soma coments humu ndani, inaonyesha more than 90% ya wachangiaji wana muelekeo wa kukubali kazi ya mpoki, unahisi wamekosea.. usilazimishe kila mtu akawaza au akapokea kitu kama unavyokipokea wewe,
 
Na hiki ni kicheko? There are some jokes that make you laugh ila tusilazimishe kuchekeshana jamani. Ze Comedy wanahitaji msaada wa kuchekesha.
mkuu sijajua ushamba wako umefikia uzito kiasi gani, kuna kipimo chochote cha kitu au neno kuwa kichekesho? kwa comedian anaweza kuongea neno la kawaida lakini watu wakacheka kutokana na uwasilishwaji wa neno hilo? anaweza akalitaja jina lako tu watu wakacheka, na comedian kuna level anafika watu wakimuona tu anafanya shoping wanaanza kucheka, ndio maana nakuuliza unaijua comedy? maana unashanaa neno kwa kuwa halichekeshi as if mpoki anafanya comedy ya kuandika kwenye gazeti.
 
mwajuma ndala ndefu....ng`ombe anakula nyasi za kijani lakini maziwa meupe
 
ukipwendwa na wote utakuwa mnafiki ww usiwakubali wa kuwasapoti ze comedy tuachie wenyewe
 
Sikumbiki vizuri. .huwa anasema kama kuoga usafi kwanini unafua taulo. .
 
Hahahaha mpoki bwana kuna posti ililetwa uku eti alitaka kugombea ubunge wa kigamboni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…