Misemo ya Mpoki jamani!

hahahah...............tumbo linauma
kuna moja alisema ile tabia ya watu wa kigamboni wakishuka kutoka kwenye pantoni kukimbia baadaye watakuja kuwa wanariadha mahiri.................hafu hii ni kweli najiuliza sana kwanini uwa wanakimbia?
 
hahahah...............tumbo linauma
kuna moja alisema ile tabia ya watu wa kigamboni wakishuka kutoka kwenye pantoni kukimbia baadaye watakuja kuwa wanariadha mahiri.................hafu hii ni kweli najiuliza sana kwanini uwa wanakimbia?
wanawah usafir sister c unajua usafr wa mabom center(mbagala na gomz)
 
mimi nahisi wameshazoea mana hata mchana wanakimbia wakati mchana usafiri siyo tabu...........ni mazoea tu.
c unajua tenah mazoea yana tabu bt ushamba pia unawasumbua kwan wote wanaokmbiaga unawaonaje??!!
 
unashangaa misonyo kwa mama wa kambo.

yatima hadeki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…