Misemo ya Vichwa vya magazeti kutokana na bomoa bomoa ya Kimara

[HASHTAG]#Mzizi[/HASHTAG] uliojichimbia chini umeamua kuwaajiri wote 56,815 waliiomba TRA kama madaktari wa Kenya kutokana na kudhihakiwa mtandaoni.
 
[HASHTAG]#Mzizi[/HASHTAG] uliojichimbia chini umeamua kuwaajiri wote 56,815 waliiomba TRA kama madaktari wa Kenya kutokana na kudhihakiwa mtandaoni.
Mkuu umenichekesha sana ha ha ha ha ha ha ha sasa watawapeleka wapi manake hata ofisi hazitatosha au kila kichwa kikasimamie mashine moja ya EFD huko mtaani
 
Eti?
[HASHTAG]#Mzizi[/HASHTAG] uliojichimbia chini umeamua kuwaajiri wote 56,815 waliiomba TRA kama madaktari wa Kenya kutokana na kudhihakiwa mtandaoni.
 
matamko yao ya ovyo ovyo watu wanaendelea kuvumilia ila kuna kikomo
 
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…