Kamzuzu360Robbyraitony
Senior Member
- Jan 12, 2020
- 111
- 114
Hasibu umeuaMwanangu kikubwa umeangalia tabia....hapo ujue kabisa demu wako sura ya baba
DahMwanangu kikubwa umeangalia tabia....hapo ujue kabisa demu wako sura ya baba
Pesa broTafuta he...
😂😂😂Kunywa mo energy ya 600 najalipia
Kweli kakaKitu nilichogundua kuwa binadamu tu ni kazi sana, Tena zaidi ya sana,
Hapa kuna ukweli chakula cha afya pika kwako, hotelini upishi wake wa kibiashara sio kwa afya ya mteja.Chakula cha hotel hakina afya— junky
Hii kauli hutoka kwa wenye elimu ya dini sasa wakiona hutoi mchango watakusema mbahili au hela ya majini. Hivi kama huna hela si utaishia kuishi maisha ya dhiki na kuwa mfanyakazi wa wenye hela.Wenye pesa hawana furaha maishani
😂 ist sio gariUtasikia Range ni gari ya wadangaji sikuizi…
Anayeongea hivyo yupo kituoni anasubiri bajaji. Ila dunia hii😂😂😂
Yaaani😂😂😂😂 ist sio gari