granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA ni chama cha KaskaziniOngezea misemo ya KICHAWI
Damn 😂 😂 we
Hizi sura wanazo Wakenya Aiseee, tako lenyewe sasa, unakuta ni lile tako mvurugo, Yaani haijulikani limeangalia mbele au nyuma, liko kama peasMwanangu kikubwa umeangalia tabia....hapo ujue kabisa demu wako sura ya baba
Mmemaliza misemo yote😂
sijaona wa kwako.Mmemaliza misemo yote
Zetu dagaa kuku tamaa tusijaona wa kwako.
Mimi umenivunja nguvusijaona wa kwako.
Wakati yeye hana hata fisi 😂Yaaani😂😂😂
Maneno ya wakosaji 😂😃😃,.Wakati yeye hana hata fisi 😂
Mwingine utasikia anasema "Pesa na magari ni vitu vya kupita tu "😂Maneno ya wakosaji 😂😃😃,.
Kwakweli😂😂😂Mwingine utasikia anasema "Pesa na magari ni vitu vya kupita tu "😂
Hakikisha vipite na kwako
Naam na huo ndio uhalisia wa maisha.Kwakweli😂😂😂
Hakikisha vya kupita na wewe vinakupitia
Kwakweli😂Naam na huo ndio uhalisia wa maisha.
madame unakula vyakula va mifugo? Damn..Mimi umenivunja nguvu
Umenisema na ugali dagaa wangu ninaokula kila siku
mm mwenyewe sometimes nakula ila wakat nikila najua kabisa nakula vyakula va mifugo.Asante kwa kunitukana