green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ndio naskia leo" Kuchomekea mkanda nje juu ya kiuno" tuliita kupiga/Kufunga mtambo.
Vidosho du sa iv midosho ni nguo au viatu vya dukaMiaka ya sitini mademu tuliwaita vidosho.
Hahaha neno shega ndio lilikua la wajanjaUzi wa wazee huu
basi mambo shega tuu
Hiyo ndio naiskiaMiaka ya 1980 kushuka chini Malaya wanaojiuza tulikua tunawaita wazalendo
Bondo dagaaKalio=wowowo
Asiye chana nyele=fidodido
Wali=ubeche
Ugali=Bondo
Maharagwe=mandondo
Nk,nk..,...........
Mbavu - mwambaMbabe _ndava
Raba_ndula
Kichwa_ndosi
Enzi zetu vidosho walikuwa wanachoma nywele kutumia bati (ili nywele ziwe nyororo na ndefu). Sasa hivi wameshakuwa mabibi wenye wajukuu na labda vitukuu.Vidosho du sa midosho ni nguo au viatu vya duka