green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Nakumbuka miaka ya 80s - 90s wakati nakua nlikuta maneno ya zamani baadhi ni kama kuita Polisi, Mamwela au Manjagu na Mapongo sasa hv tunawaita Tigo au....Wanawake zamani tuliwaita Ngaya.
Kufanya mapenzi zamani tuliita kufanya matusi kusuuza...Mshamba zamani tulimuita Ngoima, Goloko, Ndezi, Pimbi, sa hivi wanaitwa Makolo au kinega
Kula vinono tuliita kujichana..bishoo tulimwita mtanashati...tu anayekumbuka ladha za enzi hizo atupatie tu enzi wakati ule
Kufanya mapenzi zamani tuliita kufanya matusi kusuuza...Mshamba zamani tulimuita Ngoima, Goloko, Ndezi, Pimbi, sa hivi wanaitwa Makolo au kinega
Kula vinono tuliita kujichana..bishoo tulimwita mtanashati...tu anayekumbuka ladha za enzi hizo atupatie tu enzi wakati ule