100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
KunguruZamani waliitwa ma CD( Changu Doa) sikuhizi sijui wanaitwaje maana wanamajina mengi
B*tch
Mlupo
Mbanaji
Muuzaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KunguruZamani waliitwa ma CD( Changu Doa) sikuhizi sijui wanaitwaje maana wanamajina mengi
Mawazo ya Nyerere yaliitwa fikra za mwenyekiti sasahivi tunaita mawazo ya dikteta magu / dikteta mama.Miaka ya sitini mademu tuliwaita vidosho.
Kama liccm lilivyozeeka na Sasa Lina wajukuu tlp udp na maujinga mengine.Enzi zetu vidosho walikuwa wanachoma nywele kutumia bati (ili nywele ziwe nyororo na ndefu). Sasa hivi wameshakuwa mabibi wenye wajukuu na labda vitukuu.
Hayo unasema wewe, sina shida kabisaa.Mawazo ya Nyerere yaliitwa fikra za mwenyekiti sasahivi tunaita mawazo ya dikteta magu / dikteta mama.
Mbona unaanza kuweweseka??Kama liccm lilivyozeeka na Sasa Lina wajukuu tlp udp na maujinga mengine.
Wadangaji.Zamani waliitwa ma CD( Changu Doa) sikuhizi sijui wanaitwaje maana wanamajina mengi
MsubaBangi tuliita Kaya, Ngwelo ama Kijiti.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mawazo ya Nyerere yaliitwa fikra za mwenyekiti sasahivi tunaita mawazo ya dikteta magu / dikteta mama.
Chama kikongweKama liccm lilivyozeeka na Sasa Lina wajukuu tlp udp na maujinga mengine.
200 ya noti iliitwa SangalaEnzi hizo fedha/hela tulikuwa tunaziita;
1. Mawe
2. Njuluku
3. Mkwanja
3. Ngawila
4. Mapene
5. Mshiko
6.Mavumba
7. Mpunga
8. Kisu
9. Chapa
10. Fuba
11. Mzigo
12. Uchumi
23. Shekeli n.k n.k
Kabsa naona sku hizi wahuni waimba singeli nao wanataka kulirudisha wanajfanya kulitumia sanaHahaha neno shega ndio lilikua la wajanja
umelipa nua... huu msemo tumetumia sana mashuleniKampuni ya kusambaza maji ya dawasa ilikuwa inaitwa nua.