Mishahara haijapanda hata senti moja , nini maoni ya vyama wafanyakazi?

Mishahara haijapanda hata senti moja , nini maoni ya vyama wafanyakazi?

sem2708

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,414
Reaction score
4,534
Ndugu wana jukwaa, tarehe 25 June 2024. mishahara ya wafanyakazi wa serikali ilitoka. Hata hivyo hakuna nyongeza yeyote, hata ile annual increment. Cha kushangaza, vyama vya wafanyakazi viko kimya hata kutoa neno hakuna. Hivi vyama vina faida yeyote kwa wafanyakazi ama viko kwa masilahi yao ?
 
Kwaiyo mli pandishwa kisiasa lakini kwenye account mzigo auja ongezeka
 
Nishaandika barua, ipo kwa HR. Sitakaa nikavaa t-shirt zao Ijumaa ijayo naenda kufuata feedback. Isifike tar 16 aisee.
Ndugu yangu usivilaumu vyama mfumo ndo unashida nisikudanganye wale wote viongozi ni watumishi wa umma wako kwenye hivyo vyama Kwa mkopo tu lakini wao ni waajiriwa wa serikali huwezi mchimba biti mwajiri wako😂😂😂
 
Back
Top Bottom