Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Duh! Yarabi toba roho yangu! Mshtuko ulio nipa mtoa uzi,,,,, ni Mungu mwenyewe ndo anajua. Ila nakukumbusha kuwa malipo ni hapa hapa Dunia.
 
Salary tayari jamani. Walitegemea nyongeza endeleeni kuota
 
Watumishi wa Umma mshahara umeshatoka tayari hivyo mnaweza kwenda kudraw. Ila hakuna nyongeza wala kupanda madaraja.
 
Watumishi wa Umma mshahara umeshatoka tayari hivyo mnaweza kwenda kudraw. Ila hakuna nyongeza wala kupanda madaraja.
na kuna watu wanalia kuwa wamekatwa kiasi flani
 
Hola.. Unabii haujatimia
 
wameanz kutoa lakini wnye kadi za CCM tu na tangu 2010,kadi yako kama utakuwa umesajiliw 2014 watakufkilia so be carefull.
 
Kwani kiasi gani cha pato la taifa kwa sasa kinakwenda kwenye ulipaji wa mishahara? tusiongelee kupandisha tu mishahara. Tutoke kwenye box, tuangalie mbali zaidi.. Je kupandisha mishahara kwa hali yetu ya pato la taifa lilivyo sasa ni kitu realistic?? mwenye data aje nazo hapa tuwe na mjadala wa maana, ili tuache kuongea kama watu wa baa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…