Mishahara marais wa Afrika: Huu wa ugonjwa wa akili!


Kazi za watumishi wa serikali kwanza ndio huwa rahisi sana kujua mishahara yao maana hulipwa kulingana scales ambazo zinakua gazetted, sijui kwanini huwa unatumia nguvu nyingi hivi kuhadaa wadau humu, hata kama unalipwa.
 
Hata hyo naona nyingi.mzalendo unachukua mshahara mil 9?

Apunguze afanye hata laki 2.au aache kabisa huo ndo uzalendo.
 
Wewe ndio upo mtupu kabisa..
Jibu hoja usiwe kama Taahira..
Mshahara ni siri kati ya mwajiri na mwajiriwa ni statement tu ambayo haina ulinzi wowote kisheria..
Tuambie basi Magufuli alivyotangaza mshahara wake hivi karibuni amevunja hiyo sheria..!?
 
hapo safi sana kwa kweli maana kama unaona kulipwa 15m ni ndogo basi unaacha kazi...hii imekaa poa sana lazima kuwe na misimamo kama hii ili mambo ya kwende...
 
Nimekuambia ni kanuni na masharti ya utumishi wa umma sijasema ni sheria, pili nimesema mtumishi mwenyewe anaweza kutaja kwa ridhaa yake kama alivyofanya Magufuli ila halazimishwi, uwe unaelewa na usome vizuri pimbi wewe
 
Kazi za watumishi wa serikali kwanza ndio huwa rahisi sana kujua mishahara yao maana hulipwa kulingana scales ambazo zinakua gazetted, sijui kwanini huwa unatumia nguvu nyingi hivi kuhadaa wadau humu, hata kama unalipwa.
Kama ambavyo ni rahisi kwa watumishi kula rushwa, hiyo haina maana imehalalishwa, au ni haki yao kufanya hivyo
 

Eti Cheapest Hotel, unajua walifikia hotel gani? na ni bei gani?
Wacha porojo za vijiweni.
 
Wanataka payslip kutoka kwa Raisi wao sio raisi wa wengine, wakikumbuka sukari kushuka kutoka 5000 mpaka 3000 ndo wanapoona kuna shida mahali fulani, lakini hiyo 9mln inalipiwa kodi kiasi gani? Au nini maana ya uzalendo????
Bunduki za nini, tubishane kwa hoja
 
Hivi unawezaje kusema unapokea milioni sita halafu tunajua kabisa unamabilioni ya hela isiyofanyiwa Auditing kwenye mfuko wa Rais
 
Eti Cheapest Hotel, unajua walifikia hotel gani? na ni bei gani?
Wacha porojo za vijiweni.
Walifikia Double Tree Hotel kwa mujibu wa mtangazaji wa TV ya Marekani iliyofanya upelelezi huo, hii Hotel inagharimu $250 -350 per day, na ujumbe wa Tanzania ulikuwa na watu wanne (4) tu
 
Hivi unawezaje kusema unapokea milioni sita halafu tunajua kabisa unamabilioni ya hela isiyofanyiwa Auditing kwenye mfuko wa Rais
Mbona unaunganisha hoja tofauti?, watu walitaka kujua mshahara wake, walimtaka ataje hadharani ili wananchi wajue anachopata, ndicho alichokifanya, asingetangaza mngesema anaficha, ametangaza mnaleta mengine. Hilo la kwanza ameshatimiza, kama kuna lingine liwekwe mezani ili lifanyiwe kazi, wacha kuchanganya files.
 

Binafsi, hata rais akipokea 100M kwa mwezi sio mbaya.. Kazi ni ngumu mnoo, ila akubali kuwe na uwazi katika utendaji wake, raia waruhusiwe kuhoji.. Huwezi kujisifia kupata 9M wakati unafanya manunuzi ya mabilioni yasiyofuata taratibu.
 
Huo ni utumbo mshahara haujashuka huo huo ndio waliopata walitangulia kwasababu kwake huo hauna kazi yoyote ni kama hata angekataaa kabisa
 
Huo ni utumbo mshahara haujashuka huo huo ndio waliopata walitangulia kwasababu kwake huo hauna kazi yoyote ni kama hata angekataaa kabisa
Nani aliyesema mshahara ulishuka?, mbona inaonekana ina hasira na umepanic?, hajasema mshahara umeshuka, wala hajataja waliomtangulia walikua wanalipwa kiasi gani, yeye amesema kila anacholipwa tu, hayo mengine unayofikiria ni kichwa chako ndiyo kinakutuma ufikirie hivyo, yeye ametaja kile anacholipwa, hajasema ameshusha mshahara wake. Usiwe na chuki kupitiliza, utapata abdominal ulcers bila sababu.. relax kidogo.
 
Binafsi, hata rais akipokea 100M kwa mwezi sio mbaya.. Kazi ni ngumu mnoo, ila akubali kuwe na uwazi katika utendaji wake, raia waruhusiwe kuhoji.. Huwezi kujisifia kupata 9M wakati unafanya manunuzi ya mabilioni yasiyofuata taratibu.
Kwani kajisifia au kataja anachopata kama alivyoombwa na baadhi yetu?, kwani kulipwa 9M kwa mtu kama rais, chini ya mshahara wa rais wa Rwanda na Burundi unaita ni kujisifia?, huko ni kujidhalilisha kwa maoni yangu
 
Kwanini tudanganywe analipwa kidogo wakati tunajua Pesa ya posho yake ni milioni 800 kwa mwaka
 
Kwanini tudanganywe analipwa kidogo wakati tunajua Pesa ya posho yake ni milioni 800 kwa mwaka
Nani kasema hiyo 9M ni kidogo?, wewe kichwa chako ndiyo kinachanganua na kuja na majibu yako na unataka utuaminishe, wewe unachokijua endelea kuamini hivyo hivyo, yeye ameombwa ataje na ametaja kile anachopokea yeye, kama wewe unajua tofauti, nenda kaitishe press conference na wewe utaje hizo 800M unazojua wewe...Relax brother, ugumu wa maisha usiuendekeze sana, utakusababishia uwe na hasira kila siku hadi watoto wako watakukimbia
 
Kwa akili yako milioni 9 ni hela hiyo ambayo Meneja tu wa tawi la Bank anapewa au kwakuwa unapunjwa mwalimu unaiona myingi

Huo ni utumbo mshahara haujashuka huo huo ndio waliopata walitangulia kwasababu kwake huo hauna kazi yoyote ni kama hata angekataaa kabisa
 
Mwalimu alipata kusema ....hata sigara alizokua akitumia zilikua ni pesa za serikali....sasa hiyo 9 million ni nyingi sana coz haina kazi ni hela inaingia tu cjui hata kama ina mchanganuo......kila kitu bure bure mpka unakufa na bado unalipwa?......hivi kazi yake haswa huwa ni nini? Nani anampangia majukumu...nani anamkagua...taarifa anamuandikia taarifa.....nani ana...na n.k.nk.......tusidanganyane
 
Sasa ulipaswa ulete mada ya hilo la mshahara kwamba ni mdogo au vipi ili tuchangie, sasa wewe umeshaamua kuwa ni mdogo, wakati huyo mjumbe hapo juu anaona huo kwa rais ni mkubwa sana, ninarudia tena hili jukwaa lengo lake ni ili watu wachangie, sio wewe kile unachokifikiria ndiyo unataka kila mtu afikirie kama wewe, na aanzie kuchangia pale unapofikiria wewe ndiyo hivyo, nani aliyekuambia kwamba ni lazima rais apokee mshahara mkubwa kuliko mfanyakazi wa benki?, kwa taarifa yako, hata Gavana wa Benk kuu anapokea pesa nyingi kuliko rais, kwa sababu yeye kazi yake ni professional, Kimei wa CRDB na wengine wengi tu wanamzidi, toa utando kwenye ubongo wako wa kufikiria rais ni lazimwa apokee mshahara mkubwa kuliko watu wote nchini, una mawazo ya kizamani sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…