MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kama wewe hujawahi kufanya kazi serikalini tafadhali usijidhalilishe kwenye mitandao, kanuni za utumishi ni kwamba mshahara ni siri kati ya mwajiri na mwajiriwa, kama ilivyo daktari na mgonjwa, hairuhusiwi mwajiri kutaja mshahara mwa mwajiriwa bila ruhusa yake, au daktari haruhusiwi kutaja ugonjwa wa mgonjwa bila ridhaa yake, ila kama mwajiri ataamua kutaja kwa ridhaa yake, lakini halazimiki kuutaja wala kushinikizwa kufanya hiivyo
Kazi za watumishi wa serikali kwanza ndio huwa rahisi sana kujua mishahara yao maana hulipwa kulingana scales ambazo zinakua gazetted, sijui kwanini huwa unatumia nguvu nyingi hivi kuhadaa wadau humu, hata kama unalipwa.