Mishahara mipya ya walimu

Mishahara mipya ya walimu

Kimetah

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
1,049
Reaction score
189
Chondechonde waalimu msijewaacha matoto wetu pekeyao,subirini serikali ikusanye kodi kila mahali kabda mtakumbukwa,,wameanza kwenye line za simu,
3634654.jpg
 
Walimu jamani, mbona wanadhalilishwa hivi, kwani wafanyakazi wengine wa serikali hawahusiki na nyongeza za mishahara. Tusiwaandame walimu jamani as if ndio wenye mishahara kuliko wafanyakazi wengine!
 
Chondechonde waalimu msijewaacha matoto wetu pekeyao,subirini serikali ikusanye kodi kila mahali kabda mtakumbukwa,,wameanza kwenye line za simu,
3634654.jpg

Tanzania ni nchi isojali walimu, pay roll zimetoka tayari na ni kama ifuatavyo
Certfct TGTS B-304000

Diplm TGTS C-432500

Degree TGTS D-589000

TGTS E-769000
 
Tanzania ni nchi isojali walimu, pay roll zimetoka tayari na ni kama ifuatavyo
Certfct TGTS B-304000

Diplm TGTS C-432500

Degree TGTS D-589000

TGTS E-769000
mkuu kunakaukweli nini?mana huku kitaa walimu wanasubidi kupandishwa mishahara kwa asilimia 80
kinyume cha hapo wawaacha wanafunzi shuleni
 
Walimu jamani, mbona wanadhalilishwa hivi, kwani wafanyakazi wengine wa serikali hawahusiki na nyongeza za mishahara. Tusiwaandame walimu jamani as if ndio wenye mishahara kuliko wafanyakazi wengine!
walimu hawanaga mishahara bali ni posho ya mwezi
 
Sas walmu mnatak m2uwe cc ambao 2po mashulen...cjui mnatak mlpwe kwa lip mnalofanya... mashulen hatuwaon lkn vmbelembele kujadil mishahara yenu minono
 
Acheni unafiki na mada zenu za kijinga zisizo na tija kwa walimu
 
TGTS A1 296,000
TGTS B1 344.000
TGTS C1 432,500
TGTS D1 589,000
TGTS E1 769,000
TGTS F1 1,003,000
TGTS G1 1,320,000
TGTS H1 1,734,000
TGTS I1 2,415,000 hii ndio mishara mipya
 
TGTS A1 296,000
TGTS B1 344.000
TGTS C1 432,500
TGTS D1 589,000
TGTS E1 769,000
TGTS F1 1,003,000
TGTS G1 1,320,000
TGTS H1 1,734,000
TGTS I1 2,415,000 hii ndio mishara mipya

nyie ndio maana hata research/dessertation mnasuasua sana, hutoi source watu wakarejea unaleta uchafu wenu hapa, haya maoni yako unataka watu wakubali? hata kama yana ukweli, lazima uweke proof
 
walimu tuingie barabarani kulianzisha , kwani huu ni ujinga kudharauliwa kiasi hiki. wataisoma namba 2015 , naapa kweli cccm hawata ingia ikulu tena, tutawapa chadema tuwapime nao kwa miaka 5
 
yaani na kadegree kangu mshahara ni wakipuuzi hivi. ngoja nijiendee nyumbani itumbiko kakonko kulima mpunga kwani kamshahara haka nitaugua pressure bure, ccem tutaonana 2015
 
Toba, Watoto wamerudishwa ada nasubiria salary, mwenyumba anasubiri kodi, umeme na maji cjalipa deni la chakula kwa meku, mi ticha jamani lini madeni yatakwisha au kupungua?
 
Back
Top Bottom