mishahara mipya!

mishahara mipya!

gedo

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2012
Posts
314
Reaction score
53
naomba kuuliza hivi mwalimu wadegree yaualimu anaanza namshara washilingi ngapi?naomba anayejua anisaidie nasio kukejeliana nakutukanana kama hujui bora ukae kimya!
 
naomba kuuliza hivi mwalimu wadegree yaualimu anaanza namshara washilingi ngapi?naomba anayejua anisaidie nasio kukejeliana nakutukanana kama hujui bora ukae kimya!

mishahara ni siri ww hujackia gazeti limefungiwa kwa kutaja mishahara ya watu? au unataka jamiiforums ipewe ban!
 
Kwa wale wasiojua ngazi ya mshahara ya B ni ya mwenye cheti (certificate), C= Diploma, D= Degree)
WALIMU
TGTS B1= 344,000/=
TGTS C1= 432,500/=
TGTS D1= 589,000/=
TGTS E= 769,000/=
TGTS F= 1,003,000/=
TGTS G= 1,320,000/=
Wakati kwa kada ya KILIMO mambo ni mazuri kabisa kama ifuatavyo
B= 1,060,000/=
C=1,252,000/=
D= 1,473,000/=
E=1,736,000/=
 
Kwa wale wasiojua ngazi ya mshahara ya B ni ya mwenye cheti (certificate), C= Diploma, D= Degree)
WALIMU
TGTS B1= 344,000/=
TGTS C1= 432,500/=
TGTS D1= 589,000/=
TGTS E= 769,000/=
TGTS F= 1,003,000/=
TGTS G= 1,320,000/=
Wakati kwa kada ya KILIMO mambo ni mazuri kabisa kama ifuatavyo
B= 1,060,000/=
C=1,252,000/=
D= 1,473,000/=
E=1,736,000/=

Mkuu certificate sio 296,000/-
 
Kwa wale wasiojua ngazi ya mshahara ya B ni ya mwenye cheti (certificate), C= Diploma, D= Degree)
WALIMU
TGTS B1= 344,000/=
TGTS C1= 432,500/=
TGTS D1= 589,000/=
TGTS E= 769,000/=
TGTS F= 1,003,000/=
TGTS G= 1,320,000/=
Wakati kwa kada ya KILIMO mambo ni mazuri kabisa kama ifuatavyo
B= 1,060,000/=
C=1,252,000/=
D= 1,473,000/=
E=1,736,000/=

E,F na G ndio ngazi gani?
 
Back
Top Bottom