Mishahara wanayolipwa Viongozi Wakuu nchini Kenya iko wazi, Tanzania hali ikoje?

Mishahara wanayolipwa Viongozi Wakuu nchini Kenya iko wazi, Tanzania hali ikoje?

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Baadhi ya nchi duniani huwa na taratibu za kuweka wazi mishahara ya viongozi wakuu pamoja na wale wanaoongoza mihimili mingine ili wananchi wao waifahamu.

Hii ni sehemu ya kuonesha uwazi na uwajibikaji wa Umma kwa kuwa mamlaka yao hutoka huko.

Mfano, Rais wa Nchi ya Kenya hulipwa kiasi cha pesa kinacho kadiliwa kufikia Tsh 27.9 M , Naibu wa Rais Tsh 23.7 M na Waziri akipokea kiasi cha Tsh 17.9 M.

Spika wa bunge hupokea takribani Tsh 22.4 M, Naibu Spika Tsh 17.9 M, Viongozi wa Kambi Tsh 14.8 M na Wabunge Tsh 13.7 M.

photo_2022-09-07_09-01-43.jpg


Kwanini baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania huwa haziweki wazi mishahara ya viongozi wao wakuu?

Nini maoni yako?
 
Every where across the social media we see and testify showing of teacher's salary scales and nurses,doctors etc!!!!!!! Why wabunge, Marais ,makatibu wakuu,mawazir ,maspika , waweke mishahara hadhara ,kwa nini waogope????
 
27900000*21=585,900,000 tshs.

585900000\12=48,528,000 tsh

hela nyingi hii,hapa hatujaweja upupu mwingine na bado wanapiga.
 
Niacheni na mambo ya wakenya bana mm najiuliza tuu pesa ya Uvico 19 yaani Coronavirus iliyochukuliwa ilikuwa kwa ajili ya madarasa na kumalizia vituo vya afya

Sasa tozo tunaambiwa tena ni za madarasa na vituo vya afya
Lo Mungu tupe tumaini jipya maana sio kwa huu ukata unaotumaliza watu wa chini kwa sasa
 
Back
Top Bottom