- Thread starter
- #21
Open UniversityKila chuo kina schemes zake so havifanani na utaambulia kuona scales tu na sio figures, kama unavyoona kwenye matangazo ya ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Open UniversityKila chuo kina schemes zake so havifanani na utaambulia kuona scales tu na sio figures, kama unavyoona kwenye matangazo ya ajira
Nao wana salary scale yaoOpen University
MastersLecture mwenye level ipi ya elimu, au ulimaanisha maprofesa?
Salary slip yake umewahi kuiona au alikuhadithia tu?Uliza acha ligi, nina kaka angu kaajiliwa mwaka juzi ni lecturer pale institute of social work kipo sinza bamaga analipwa million 5 na laki saba, take home ni million nne na laki tisa
Ukiwa na Masters kwa UDSM wewe ni assistant lecturerMasters
Technical staff ni kama vile Laboratory technician?Vyuo vikuu vya serikali kuna ngazi kadhaa za mishahara kama PGSS, PUSS na PUS mara nyingi PGSS sina uhakika ni kiasi gani, ila wanalipwa wale wafanyalazi wa hospitali nadhani na hawa Maafisa wengine kama ulowataja, PUSS ni kwa technical staff sana ambayo inaanza na zaidi ya 1.4m na hii PUS ni watumishi wengine kada na vitengo vingine mbali na administrative na technical staff.
Warden wa chuo gani anafagia?Lecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Hapo sikufichi mpwayungu umetoa bokoLecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Ndio mkuu.Ukiwa na Masters kwa UDSM wewe ni assistant lecturer
Technical staff ni kama vile Laboratory technician?
Mbona yupo sawa kabisa. Wewe unadhani PUTS 4.1 na kuendelea ni hela ngapi??Hapo sikufichi mpwayungu umetoa boko
🤣Boko limeungua, turudi kwenye mada, Admission officer mfano open University ana ngapi ?Hapo sikufichi mpwayungu umetoa boko
Mwenye masters sio lecturer ni asistant lecturer na salary scale yake 2.4+mMasters
Na admission officer ana ngapi ?Mwenye masters sio lecturer ni asistant lecturer na salary scale yake 2.4+m
Lecturer ni mwenye phd
University(Udsm, udom, MUST, Mzumbe) wote wana harmonized scheme of service, mishahara ni mmoja, ila vyuo kama IFM au CBE au DIT, TIA hao wana scheme yao tofauti...Admission officer wanalipwa PGSS 6... Tshs 1,1770,000[emoji1787]Boko limeungua, turudi kwenye mada, Admission officer mfano open University ana ngapi ?
Anayelipwa zaid ya 5m ni associate professor na Professor tuu..ila bila PHD hata 3milion hufikishiLecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Na Pmgss 6 ni kiasi gani mkuu??Anayelipwa zaid ya 5m ni associate professor na Professor tuu..ila bila PHD hata 3milion hufikishi
Wizy unataka kujua umate umate sio ,,,[emoji3][emoji3] ..pambana kuingia kweny mrija wa asali ,mbele kwa mbele huko ndio itajulikanaNa Pmgss 6 ni kiasi gani mkuu??
😂😂😂😂hahhhhh mwaka huu Uhakika ndo maana naulizi nianze kupiga hesabu za kununua Subaru na kuwapa lift watoto wakaliiii hahhhhWizy unataka kujua umate umate sio ,,,[emoji3][emoji3] ..pambana kuingia kweny mrija wa asali ,mbele kwa mbele huko ndio itajulikana
Kuna moja yyote ya TA umeshafanya ??au tumefanya za taalumaa zetu tu za TGS E au D ?[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahhhhh mwaka huu Uhakika ndo maana naulizi nianze kupiga hesabu za kununua Subaru na kuwapa lift watoto wakaliiii hahhhh